Tabia ya baadhi ya Wadada kulazimisha wapewe hela ya Eid inakera

Tabia ya baadhi ya Wadada kulazimisha wapewe hela ya Eid inakera

Manyabuluba

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
371
Reaction score
381
Hivi inakuaje watu hasa Wadada wanakomaa kutumiwa Pesa ya Idd?

Umefunga wewe Idd wanaomba wengine na wanakomaa kweli kweli utasikia nataka Idd yangu.

Nitumie Idd yangu, mpaka inafikia hatua ya kukosana na Mtu kisa hajatumiwa Idd yake, tarehe zenyewe tasa mambo hayaendi kabisa.
 
Afadhali wewe eid adi eid kuna wengne uku wanapigwa sku adi sku tena na ya kutolea...
 
Hivi inakuaje watu hasa wadada wanakomaa kutumiwa Eid(pesa)!!Umefunga wewe eid wanaomba wengine na wanakomaa kweli kweli utasikia nataka eid yangu,
Unawawakilisha wanaume wangapi walioombwa Eid? Au hao wadada wote ni wako ila umeshindwa kukidhi mahitaji yao, in other words umepukutika, usisingizie tarehe kuwa ni tasa, tarehe ni 14 ambayo ni namba shufwa
 
Oeni... Sometimes mnatumia gharama kuwazidi wenye familia.
 
Hivi inakuaje watu hasa Wadada wanakomaa kutumiwa Pesa ya Idd?

Umefunga wewe Idd wanaomba wengine na wanakomaa kweli kweli utasikia nataka Idd yangu.

Nitumie Idd yangu, mpaka inafikia hatua ya kukosana na Mtu kisa hajatumiwa Idd yake, tarehe zenyewe tasa mambo hayaendi kabisa.
Mtumie bhanaa acha ubahiri
 
Back
Top Bottom