'Kidada' kwa kihehe ni tabia ya kususa...nilimuuliza rafiki yangu wa huko ira akaniambia ni katabia flan kanakoendekezwa kwa sana na wadada wa huko...huyu rafiki akahitimisha ukikijulia hicho 'kidada' basi dada wa kihehe yu tayari kufwariki kwa ajili yako...tulikuwa na wachagga na mambo yao..sasa nawaombeni tukijadili hiki 'kidada' cha wadada wa iringa..je kipo..kina tija? au huyu rafiki yangu ni mzushi tuu..
mtemi mkwawa alikuwa na kidada au alikuwa jasiri...kidada si kususa au...asante mkuuLazima ujue maana ya hilo neno "Kidada"
Hiyo ni silika iliyo rithiwa toka kwa mtemi Mkwawa kiboko ya Zelewsk!
Kidada ni tokeo la kutokukubali kupelekwa mputa/kuburuzwa/kulazimishwa kwa aina yoyote ile na hutendwa na jamii ya wahehe hasa wanaojitambua!
Mtemi Mkwawa alifanya hivyo nae alirithi toka kwa baba yake Mnyigumba wa pale Rungemba!
Chifu Adamu Sapi alimfanyia hivyo Nyerere pale alipo mpokonya uspika na kumpa waziri wa mali asili!
Na hautaona wala kuelewa kamwe!!Naona mazonge 2 hata haieleweki.
mazonge tena...kidada kwa maelezo ya rafiki yangu ni tabia ya kususa (kununa)Naona mazonge 2 hata haieleweki.
Duh..kumbe ni kiburi...rafiki yangu aliniambia kuwa hiyo kidada ina faida kwani hapo bint anahitaji kubembelezwaKidada ni Kiburi bana. Kweli wa dada wa Iringa si mchezo kwa KIDADA beee!! Utasikia nyelaa ndi mnyamumooo, ndi mnyabaha yaani mie wa hapa hapa tuuu hahahaha watani zangu hawa bana si mchezo! enzi za mwalim ilikuwa mpaka upate game kwa mtoto wa kihehe unasota mbayaaaaaaaaaa sijui miaka hii utandawazi umewaharibu ndo maana hata NGOMA inaongoza huko kwao!!
Sio kususa mkuu! Tatizo lako wewe umeitafsiri ktk kunde penzi! Hebu panuka kifikra hayo niliyokwambia hapo juu ndiyo tafsiri stahiki ya neno KIDADA/lubesa/lunyololombi/kitefu nkmtemi mkwawa alikuwa na kidada au alikuwa jasiri...kidada si kususa au...asante mkuu
Kwa maelezo ya hizi terms za mwisho sina hoja mkuuSio kususa mkuu! Tatizo lako wewe umeitafsiri ktk kunde penzi! Hebu panuka kifikra hayo niliyokwambia hapo juu ndiyo tafsiri stahiki ya neno KIDADA/lubesa/lunyololombi/kitefu nk
Lazima ujue maana ya hilo neno "Kidada"
Hiyo ni silika iliyo rithiwa toka kwa mtemi Mkwawa kiboko ya Zelewsk!
Kidada ni tokeo la kutokukubali kupelekwa mputa/kuburuzwa/kulazimishwa kwa aina yoyote ile na hutendwa na jamii ya wahehe hasa wanaojitambua!
Mtemi Mkwawa alifanya hivyo nae alirithi toka kwa baba yake Mnyigumba wa pale Rungemba!
Chifu Adamu Sapi alimfanyia hivyo Nyerere pale alipo mpokonya uspika na kumpa waziri wa mali asili!
Haina tofauti saana na Wahaya!!Kidada ni kiburi.
tena cyo kiburi cha ukaidi! Ni kiburi chenye ujasiri wa kutotaka kupelekwa pelekwa kama mzigo!Kidada ni kiburi.
'Kidada' kwa kihehe ni tabia ya kususa...nilimuuliza rafiki yangu wa huko ira akaniambia ni katabia flan kanakoendekezwa kwa sana na wadada wa huko...huyu rafiki akahitimisha ukikijulia hicho 'kidada' basi dada wa kihehe yu tayari kufwariki kwa ajili yako...tulikuwa na wachagga na mambo yao..sasa nawaombeni tukijadili hiki 'kidada' cha wadada wa iringa..je kipo..kina tija? au huyu rafiki yangu ni mzushi tuu..