Tabia ya kushangilia goli ndani ya kibanda umiza kabla kufungwa kwenye TV kwa watu wanaoingia na radio imesababisha nimpasue mtu jicho

Tabia ya kushangilia goli ndani ya kibanda umiza kabla kufungwa kwenye TV kwa watu wanaoingia na radio imesababisha nimpasue mtu jicho

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Amenikera sana hapo jana, Mpira upo kwenye move lakini ghafla unaona anashangalia. Alifanya hivyo kwa goli la kwanza nikachuna, la pili nikapiga kimya sasa la tatu nalo nikapotezea.

Ishu ni pale alipojaribu kushangilia goli la nne huku mie bado naangalia mpira, alikutana nayo ya uso na kabla hajaelewa nikamzimisha na heavy weight nyingine mpaka nilipohakikisha amepoteana. Watu wengine mnakera kama huwezi sikiliza redio yako nyumbani.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] lile la nne kabla halijaingia kibanda kizima kilisimama dah
 
Kuna watu wanaudhi mmekaa mnaangalia mpira yeye kaja nq redio anaanza kushangilia si bora angebaki nq radio yake nyumbani akasikiliza.
 
Ulifanya la maana sana, kuna mmoja hivyo hivyo niliwahi mpasua Korodani aka Mapumbu
 
Back
Top Bottom