Tabia ya Kususasusa ni sehemu ya Sera ya CHADEMA. Nawashauri wasusie na Uchaguzi Mkuu wa 2025

Tabia ya Kususasusa ni sehemu ya Sera ya CHADEMA. Nawashauri wasusie na Uchaguzi Mkuu wa 2025

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
CHADEMA kimekuwa ni chama cha kususasusa na kununa hovyo kanakwamba huko kumejaa watoto.

Wamesusia vitu vingi sana mfano; Chaguzi zote ndogo za Udiwani na Ubunge eg, Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali. Aidha huwa Wanasiasa kuingia kwenye mashauriano ya masuala ya Katiba na Demokrasia nk.

Sasa hivi kuna mswaada wa mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi na Tume Huru, wakati vyama vingine vikikubali kutoa maoni wao wamesusa ili baadae wasubirie kulalamika.

Binafsi napenda sana CHADEMA wasusie Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2024 na mwaka 2025 ili sasa tujue kama kweli nyie ni miamba.

Mwisho kwa kuwa mumewasusa hadi kina Halima na kundi lake Covid 19 ingefaa mususie na ruzuku ili Serikali iwape vyama vingine.

My Take
CHADEMA ina watu wa hovyo sana 😆😆
20230914_084212.jpg
 
Tabia za ke 🤣🤣🤣🤣

Nitajua nyie ni Ke kama mtashiriki na uchaguzi wa 2025
Ni ukhanithi kama ukhanithi mwingine kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ili uonekane haususi. CDM haina tatizo na kushindwa kwenye uchaguzi halali, lakini itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ili kuipa uhalali CCM kuwa imechaguliwa na wananchi.

CDM wamefanya kitu sahihi ili kuonyesha umma idadi ya kura wanazopataga CCM. Fuatilia uchaguzi mdogo wa Mbarali uone uchaguzi ulivyododa kisa CDM hawashiriki. Na hao watakaojitokeza ndio hizo kura ambazo CCM huwa wanapataga, kisha kupora za CDM. Mnaona aibu maana CDM wamesusia chaguzi, na hatimaye chaguzi zimeonekana ni za kipuuzi tu. Nitawashangaa sana CDM iwapo watakubali kushiriki uchaguzi wa 2024/25 iwapo bado mazingira ni haya haya.
 
Ni ukhanithi kama ukhanithi mwingine kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ili uonekane haususi. CDM haina tatizo na kushindwa kwenye uchaguzi halali, lakini itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ili kuipa uhalali CCM kuwa imechaguliwa na wananchi.

CDM wamefanya kitu sahihi ili kuonyesha umma idadi ya kura wanazopataga CCM. Fuatilia uchaguzi mdogo wa Mbarali uone uchaguzi ulivyododa kisa CDM hawashiriki. Na hao watakaojitokeza ndio hizo kura ambazo CCM huwa wanapataga, kisha kupora za CDM. Mnaona aibu maana CDM wamesusia chaguzi, na hatimaye chaguzi zimeonekana ni za kipuuzi tu. Nitawashangaa sana CDM iwapo watakubali kushiriki uchaguzi wa 2024/25 iwapo bado mazingira ni haya haya.
Nami nitatawashangaa sana. Lazima tugomee uchaguzi wa kijinga.
 
Nami nitatawashangaa sana. Lazima tugomee uchaguzi wa kijinga.
Kabisa, kitendo cha kuendelea kushiriki chaguzi na chama kilichopoteza ushawishi huku kinashurutisha kukaa madarakani, ni kukipa uhalali wa kuwajazia watu kwenye chaguzi. Ni bora kiachwe kishiriki na vibaraka wake ili kijue ni kwa kiwango gani watu wamechoka nacho.
 
Ufisadi,wizi na kuiba mali za uma ndiyo tabia kuu ya CCM isiyoweza hata kujificha kwa mwanachama yoyote wa CCM hata kama ni Rais wa nchi
 
CHADEMA kimekuwa ni chama cha kususasusa na kununa hovyo kanakwamba huko kumejaa watoto.

Wamesusia vitu vingi sana mfano; Chaguzi zote ndogo za Udiwani na Ubunge eg, Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali. Aidha huwa Wanasiasa kuingia kwenye mashauriano ya masuala ya Katiba na Demokrasia nk.

Sasa hivi kuna mswaada wa mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi na Tume Huru, wakati vyama vingine vikikubali kutoa maoni wao wamesusa ili baadae wasubirie kulalamika.

Binafsi napenda sana CHADEMA wasusie Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2024 na mwaka 2025 ili sasa tujue kama kweli nyie ni miamba.

Mwisho kwa kuwa mumewasusa hadi kina Halima na kundi lake Covid 19 ingefaa mususie na ruzuku ili Serikali iwape vyama vingine.

My Take
CHADEMA ina watu wa hovyo sana [emoji38][emoji38]View attachment 2748615
8cd94887996f4d1175c6c40e4e11372b.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tume hii,inajulikana CCM watashinda, CHADEMA wao,wasishiriki,endapo tume ya uchaguzi ni ya CCM na katiba yenyewe ni hiihii.
Tunaomba sana muwaambie Wasusie na 2025
 
CHADEMA kimekuwa ni chama cha kususasusa na kununa hovyo kanakwamba huko kumejaa watoto.

Wamesusia vitu vingi sana mfano; Chaguzi zote ndogo za Udiwani na Ubunge eg, Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali. Aidha huwa Wanasiasa kuingia kwenye mashauriano ya masuala ya Katiba na Demokrasia nk.

Sasa hivi kuna mswaada wa mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi na Tume Huru, wakati vyama vingine vikikubali kutoa maoni wao wamesusa ili baadae wasubirie kulalamika.

Binafsi napenda sana CHADEMA wasusie Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2024 na mwaka 2025 ili sasa tujue kama kweli nyie ni miamba.

Mwisho kwa kuwa mumewasusa hadi kina Halima na kundi lake Covid 19 ingefaa mususie na ruzuku ili Serikali iwape vyama vingine.

My Take
CHADEMA ina watu wa hovyo sana 😆😆View attachment 2748615
Sasa mbona hujaweka facts zinazopelekea wao wasusie? Bila kuweka facts uzi wako utakua umetoa kwa think tank wa masuala ya bandari kite, zembwe na Jera!!
 
Kabisa, kitendo cha kuendelea kushiriki chaguzi na chama kilichopoteza ushawishi huku kinashurutisha kukaa madarakani, ni kukipa uhalali wa kuwajazia watu kwenye chaguzi. Ni bora kiachwe kishiriki na vibaraka wake ili kijue ni kwa kiwango gani watu wamechoka nacho.
Nyie wenye ushawishi mnasubiria nini kushika hatamu? Susieni na 2025
 
Ni ukhanithi kama ukhanithi mwingine kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ili uonekane haususi. CDM haina tatizo na kushindwa kwenye uchaguzi halali, lakini itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ili kuipa uhalali CCM kuwa imechaguliwa na wananchi.

CDM wamefanya kitu sahihi ili kuonyesha umma idadi ya kura wanazopataga CCM. Fuatilia uchaguzi mdogo wa Mbarali uone uchaguzi ulivyododa kisa CDM hawashiriki. Na hao watakaojitokeza ndio hizo kura ambazo CCM huwa wanapataga, kisha kupora za CDM. Mnaona aibu maana CDM wamesusia chaguzi, na hatimaye chaguzi zimeonekana ni za kipuuzi tu. Nitawashangaa sana CDM iwapo watakubali kushiriki uchaguzi wa 2024/25 iwapo bado mazingira ni haya haya.
Susieni ruzuku tuwape ACT Wazalendo
 
Ni ukhanithi kama ukhanithi mwingine kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ili uonekane haususi. CDM haina tatizo na kushindwa kwenye uchaguzi halali, lakini itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ili kuipa uhalali CCM kuwa imechaguliwa na wananchi.

CDM wamefanya kitu sahihi ili kuonyesha umma idadi ya kura wanazopataga CCM. Fuatilia uchaguzi mdogo wa Mbarali uone uchaguzi ulivyododa kisa CDM hawashiriki. Na hao watakaojitokeza ndio hizo kura ambazo CCM huwa wanapataga, kisha kupora za CDM. Mnaona aibu maana CDM wamesusia chaguzi, na hatimaye chaguzi zimeonekana ni za kipuuzi tu. Nitawashangaa sana CDM iwapo watakubali kushiriki uchaguzi wa 2024/25 iwapo bado mazingira ni haya haya.
Yani watu wa chadema kwanini mna matusi sana shida nini? Kwanini msiwe na lugha za staha na heshima kwanini mnapenda kutukana sana mbona vyama vingine wanatumia lugha adhimu ya kiswahili na wanaelewana na kueleweka mbele ya jamii kwanini nyie watu wa hasira na fujo fujo na mnakosa ridhaa ya kuongoza
 
Ni ukhanithi kama ukhanithi mwingine kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ili uonekane haususi. CDM haina tatizo na kushindwa kwenye uchaguzi halali, lakini itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kuendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa ili kuipa uhalali CCM kuwa imechaguliwa na wananchi.

CDM wamefanya kitu sahihi ili kuonyesha umma idadi ya kura wanazopataga CCM. Fuatilia uchaguzi mdogo wa Mbarali uone uchaguzi ulivyododa kisa CDM hawashiriki. Na hao watakaojitokeza ndio hizo kura ambazo CCM huwa wanapataga, kisha kupora za CDM. Mnaona aibu maana CDM wamesusia chaguzi, na hatimaye chaguzi zimeonekana ni za kipuuzi tu. Nitawashangaa sana CDM iwapo watakubali kushiriki uchaguzi wa 2024/25 iwapo bado mazingira ni haya haya.
waendelee kususa ccm hatutumii nguvu tunawaambia wanachama wachache wakapige kura
 
Nyie wenye ushawishi mnasubiria nini kushika hatamu? Susieni na 2025
Hatutaki kushika hatamu kwa mbeleko ya vyombo vya dola, tunataka uchaguzi halali anayeshinda atangazwe kihalali. Usitegemee miaka yote tutaendelea kushiriki chaguzi zisizoheshimiwa.
 
Back
Top Bottom