ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kiukweli wakina mama wetu na kina Dada wetu sipendi hii waliyonayo ya kuweka hela kwenye maziwa. Unakuta ni mdada mfanyabiashara amekuuzia kitu kwenye mgahawa Sasa chenji anaitolea kwenye nguo kwenye maziwa.. Kwangu me Haijakaa SAWA kabisa kwanza sio person hygiene and good manner. Wanafaa wabadilike Ile ni ya kizaman na wana I practise Sana wakina mama WA kijijini. Wengine kwao ni kama utamaduni amekuta mama anafanya HiVyO na yeye ameiga. Kama suluhisho lingine pia linaweza kufanyika ni mafundi ku design nguo zao ziwe na mifuko. Lakini bado sijui tatizo ni nini wapo wadada wanavaa suruali Lakini bado pesa anaficha Kwa kuweka kwenye matiti. Na ni mwanamke WA mjini. Culture mazoea mabaya na ushamba