M Mtandu jr New Member Joined Sep 10, 2021 Posts 2 Reaction score 1 May 9, 2024 #1 Kwanini asilimia kubwa ya madaktari siku hizi hawatoi taarifa za ndani kuhusu ugonjwa, kama jinsi ya kujikinga na Chanzo cha ugonjwa. Wamekuwa wakitoa dozi tu wakati mwingine hata tatizo hujuzwi vizuri
Kwanini asilimia kubwa ya madaktari siku hizi hawatoi taarifa za ndani kuhusu ugonjwa, kama jinsi ya kujikinga na Chanzo cha ugonjwa. Wamekuwa wakitoa dozi tu wakati mwingine hata tatizo hujuzwi vizuri
hah JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 507 Reaction score 1,004 May 10, 2024 #2 % Kubwa ya Magonjwa ni biashara Hakuna atakae kupa Siri ya biashara yake