Tabia ya Madaktari kutojuza chanzo na jinsi ya kujikinga magonjwa

Mtandu jr

New Member
Joined
Sep 10, 2021
Posts
2
Reaction score
1
Kwanini asilimia kubwa ya madaktari siku hizi hawatoi taarifa za ndani kuhusu ugonjwa, kama jinsi ya kujikinga na Chanzo cha ugonjwa.

Wamekuwa wakitoa dozi tu wakati mwingine hata tatizo hujuzwi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…