Kulikuwa na kelele za Simba kuishinda Yanga kwenye mabonanza pekee, naona hako ka wimbo kamefutika kimya kimya.
Sasa hivi ni Yanga kupaniwa.
Simba imechukua ubingwa mwaka 2012 tu, tayari inaoonekana ni mbaaali! Mnataka kila siku iwe ni Simba tu?
Mbona hata Yanga ktk kipindi hiki (2012 - 2015) wamechukua mara moja tu?