Tabia ya ushoga mitandaoni inazidi kuongezeka kwa Kasi.TCRA imekuwa kipofu

NIMEJARIBU KUMCHEKI HUKO FB HAKIKA KAJAMAA NI MCHICHA.
NIMEKAZINGUA KAMEITIKIA FRESH HAKAJUI KAMA NILIKUWA NAKATEST
PICHA ZAKE HIZI HAPA.
 
WWIII inakuja kwa kasi sana.......
 
Sasa nimeamini kwamba hii lugha “MY” inatumika na mashoga.mtoto wa kiume akinitamkia hivyo moja kwa moja nitakuwa nimepata jibu.

Shida sana hii.
 
Unatangaza biashara yako
Stupid! Wee sema na ww mkunaji tuu
 
Naomba Mungu anksamehe, maana ningemaliza kusoma huu uzi... Pengine ningeweza kupata upofu kabisa....
 
nimekaangalia fb... nilivyokaona tu... nimekajaji kuwa ni kampunga kakubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa nimeamini kwamba hii lugha “MY” inatumika na mashoga.mtoto wa kiume akinitamkia hivyo moja kwa moja nitakuwa nimepata jibu.
Shida sana hii.
Mwanaume akinitumia msg hata kama ni ndugu yangu au rafiki yangu akisha tumia neno, Wangu au My sitakujibu msg yako, na upo uwezekana mkubwa nikafuta namba yako


Kwenye hizo picha hapo juu, naona mama yake sura yake ina kama huzuni yaani ana huzuni moyoni mwake...
 
Mtu anawaletea habari serious mnaanza comment upuuzi.....

Nyie hili janga mnalichukulia poa ila linakuwa kwa kasi sana. Na huku uswahili huku ndipo kuna visa vingi sana vinatokea. Watoto wadogo wa kiume wanafanyiwa ukatili wa kijinsia...... Na hakuna anaewajali na kuwalinda.

Narudia tena, huku uswazi kuna watoto wa kiume wanaoingiliwa rivasi kuliko maelezo...... Jamani jamani jamani mchukulieni mtoa mada serious huu si mzaha. Maneno, sheria, amri na kanuni za MUNGU zinapuuzwa na haya ndio matokeo yake sasa.

Watoto wanalelewa na mama zao tu bila baba ni tatizo....... Watoto wanakosa males role models wanajikuta wanakuwa so inspired na mama zao........ Na haya ndio matokeo, mtoto wa kiume anakuwa gender disoriented anaanza jidoubt.
 
Kuna mmoja kipind hcho nikiwa addicted kwa Facebook aling'ang'ania kuja morogoro,sikuwa na mahali pa kumuweka ndo ikashndkana kumruhusu aje moro
 
Kabisa my
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…