Tabia ya wazungu wa kike.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Unless kama wewe ni kitombo unataka uwashe then upite hivi
Uta feli kwa wao watu...


Umeshapata access ya mawasiliano
Una oga naye (swimming)
Unachatat naye..

Jiongeze sasa kuna kitu inaitwa Date mzeee
Wazungu wana respect sanaa hii kitu..
Mostly wazungu hawatongozwi
Take her Out mpate dinner pamoja
Msifie about outfits yake aliyovaaa
Kula naye, muulize kuhusu siku yake, muulize kuhusu familia yake..
Confidences inayotakiwa hapa ya A+...
Wazungu wako very sensitive
After all mridishe kwake
Kuna ka first kiss hapa kanaweza tokea
The way ulivyo anza mazungunzo naye na kumrudiah home utajua unaweza make move ya kiss au upotezeee


*ndo maaana nikasema kama wewe kitombi unataka uwashe upite hivi hapo uta feli sanaaa****
 
Wanaogopa ikikukabalia utakimbilia kumjaza mimba, alafu mtasumbuana...


Cc: mahondaw
 
MEDICAL TEST STDS
 
Its True. Nakubaliana na Mleta Mada...

Nimekaa UK for 3 years nikiwa nasoma....Dem wa Kizungu unahitaji kumgusa deep down in her heart na kama hana feelings na ww atakuambia straight.

Ku date dem wa kizungu its a whole lotta different experience compared na madem wa kibongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…