Tabia za daladala za kwenu

Usiombe uje dodoma saa nne wamelala wote njia nyeupe kuna wehu sasa saa mbili kamili wamelala wamekata root [emoji23][emoji23] unaweza tembea kwa miguu wakati ni jiji.
🤣🤣🤣🤣saa mbili ni kwamba wana hela san au🤣🤣
 
Daladala la bukoba jamani unajaza mifugo watu na mazao humo ndan bado mizigo ya dagaa harufu yake humo inabidi utoe uso nje
Bado mchomoko taxi moja mnajazana watu kumi
 
Pande hizi maharage yanapatikana kwa wingi sasa ni kawaida mtu kujipigilia maharage na chai ahsubuhi.Tatizo linaanza pale mtu anapoutimia uhuru wake kwa kujamba ndani ya daladala.Na ukumbuke hajambi mmoja.Mpaka tunapofika tunakoenda tunakuwa kama tumelewalewa
 
🤣🤣🤣🤣🤣daah
 
Daladala la bukoba jamani unajaza mifugo watu na mazao humo ndan bado mizigo ya dagaa harufu yake humo inabidi utoe uso nje
Bado mchomoko taxi moja mnajazana watu kumi
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna daladal nilipanda yan lami unaiona kabis kw upande wangu nlikua naiona na chasis chin lipo tupu kbc unakanyag kw uangalifu kbc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…