Tabia za wadada wa Dar

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,675
Reaction score
2,807
Zamani mtu akiolewa humskii kama week hivi au mwezi ana honey munika. Sikuhizi harusi leo kesho ndio wa kwanza kuamka kabla yako unakutana mapicha Instagram.

Yaani usiku wa honeymoon, saa kumi na moja kesha amka...na ma post yake ...."thank you lord", "mashosti sina cha kuwalipa", "hes besides me now", "my hubby is handsome than yours", "man on top" etc

Hivi kwenye kitchen party ndivyo mnavyofundishwa?

Dada ajifungue sasa, labour katoka saa moja asubuhi saa sita mchana picha ya mtoto ipo insta kitamboooooo.

Ni hayo tu,
 
unaonekana hujaolewa wewe wivu umekujaa
 
Hahahaaaa.......walisema haolewi mbona kaolewa......sasa ni kuonyesha kaolewa......
 
WA MIKOANI MNA MAJUNGU MMEANZA NA WANAWAKE MMEMALIZA YA WANAUME
 
acha wivu ni adui wa maendeleo...omba mungu na wewe utajipatia mume wako
 
Hao niwale wezi wa wanaume wawatu,na wasio jiamini,kama mume wako mrututu wa ndoa unaupata wewe
why utangaze usijilalia zako unakala uharusi wako,au huyo mume nae hamshughulikii kisawa sawa
upate service ya uhakika kwanza hata simu utagusa hiyo choka yake,bado kuna kumsinga mume huo mda
unatoa wapi wa kuchange DP?
ndio mana sikuizi wengi wanaachwa mda simrefu wanatoa nuksi tuu kuolewa kuna wenyewe..
 
Teh! Teh! Teh! Teh! Teh! Ajabu sana ndio maana ndoa siku hizi hazidumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…