Tabia za walevi wakiingia Bar

Tabia za walevi wakiingia Bar

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Anaingia akiwa timamu, Busara na hekima za hali ya juu lakini kadri muda unavyoenda sasa[emoji116]

Binti yangu Hujambo? Naomba niletee bia.(ya kwanza)

Dada njoo naomba ya pili

We Mhudumu, lete bia

Weeweee unatingisha tako nini? Lete bia hapaa

We mbwa, nikuite mara ngapi?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Inategemeana na mtu, mi nakuwaga mstaarabu mpka mwisho cha zaidi naweza omba namba [emoji1][emoji1]
 
Hahahah wengine akifika ya 7 ndo anaona kila mhudumu ni pisi kali
 
Back
Top Bottom