tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
na mimi umenisahau hapo kunitaja [HASHTAG]#Official[/HASHTAG] Bindira kijana mpole asiependa makuu@gentemycine - u mach noo mwingi. Kujiona yeye bora kuliko wengine na mashauzi ya hapa na pale.
FaizaFoxy- udini, u CCM na ujuaji mwingi.
mshana jr- hamble, intelligent and gentleman
BAK, - very calm and wise
Sky Eclat- wise and intelligent, good listener
HR 666- utoto mwingi, na kusumbua watu PM
Miss Natafuta- mjanja sana, Mtoto wa mjini
lara 1- Bonge LA story teller
Hata mimi nmepata shaka huu mwandiko huuLeo nimejua kuwa hii ni account ya nani
Taifa gani hilo,hili la CCM?Salary slip-Kupinga kila kitu kinachofanywa serikali.Mfia chama kuliko taifa.
Ulioenda shuleNazjaz-mchepuko wa kimataifa
Halafu huwa hajali kabisaa anachoandika...Lini hiyo [emoji23] [emoji23]
Sijajua kwa nini lakini katika watu ambao huwa nawakalia mbali humu jf huyu naye mmoja wao mana ana maneno makali hadi unaweza ukajiwazia kutwa nzima.
Wahusika wa serkali hii ndio wanaozeheka haraka,maana muda ote wanawaza kuwakomoa wanaowakosoa.@wasioipendaserikaliyaawamuhii - wamejaa maneno machafu na hasira mbaya.
Naamini hata nyuso zao zinazeeka haraka