Tabia za watu huendana na majina yao...

Hahahahah......jf bana!Konakali - Wachokozi sana, hupenda kuchekesha watu..
SaidAlly - wavivu, hupenda starehe, wanafki, hujidai wajuaji.... lakini pia husali sana.

faiza foxy na malaria sugu je??!!
Hawa wana tamaa, ni mafisadi, madictator wasio na uwezo, hupenda kutumwatumwa, wachokozi, hupenda kuwa na majina meeeengi....!

wana magamba hadi machoni
Shauri yako.... maana hata kama kapewa "ban" lazima atakuwa anachungulia humu akijiandaa kuja na ID mpya...!
 
Tuko, umeipata wapi ile taarifa? Inaonekana haina mantiki yo yote...
 
Bujibuji ni kama radi, napiga, nashambulia, naunguza, nachoma,naangamiza na kuteketeza kabisa.
 
Elizabeth - wabishi, wanajifanya kila kitu wanajua. wana akili sana lakini hawadumu katika ndoa..
Hapa unanishawishi!! Ninampenzi wangu anaitwa Elizabeth yani ni mbishi kupita maelezo mpaka nafikiria kujivua gamba!! Kama upo hapa jf naomba utambue kuwa unakaribia kubwagwa!!!
 
Ashura - waongeaji sana, wana mapepe, wanabadili wanaume ila pia ni warembo na wanajua kuwapagawisha wanaume.

Koku- wanajiona wao ndo wazuri, wanajisikia kuwa wasomi pekee hakuna kama wao, wana dharau na kiburi, kujifanya uzungu mwingi
 

hapo mkuu duu umeua...ametufanyia Biashara ikulu huyu, eti ana busara kauza nyumba za serikali huyu....
 
kuhusu lilian,rose na mary,nimekubali miamia....
 
in one way or another tabia hutofautiana bt i think ume-concda majority!...nambie KUDUISHE ana tabia gani?coz naona majina yote yanayotajwa ni common n most are english names...tel me abt dat pare name nw...
 
Kuhusu lily nakubaliana na wewe asilimia mia moja..
 

Duh,nimelimiss hili jukwaa kwwa sababu ya siasa.Ila hapo kwenye Red hapo mimi sihusiki nitake radhi
 
Mkuu hata mimi nashangaa hii kitu haina ukweli wowote!
Mh!.. Mi nnavyojua tabia ya mtu inatokana na malezi aliyopata kwao + mazingira anayoishi + shule alizosoma... Ila jina?? Sijawahi kusikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…