SaidAlly - wavivu, hupenda starehe, wanafki, hujidai wajuaji.... lakini pia husali sana.Hahahahah......jf bana!Konakali - Wachokozi sana, hupenda kuchekesha watu..
Hawa wana tamaa, ni mafisadi, madictator wasio na uwezo, hupenda kutumwatumwa, wachokozi, hupenda kuwa na majina meeeengi....!faiza foxy na malaria sugu je??!!
Shauri yako.... maana hata kama kapewa "ban" lazima atakuwa anachungulia humu akijiandaa kuja na ID mpya...!wana magamba hadi machoni
wanapenda kutumiwa kisiasa ni machichidodo wanafikifaiza foxy na malaria sugu je??!!
Bujibuji ni kama radi, napiga, nashambulia, naunguza, nachoma,naangamiza na kuteketeza kabisa.SaidAlly - wavivu, hupenda starehe, wanafki, hujidai wajuaji.... lakini pia husali sana. Hawa wana tamaa, ni mafisadi, madictator wasio na uwezo, hupenda kutumwatumwa, wachokozi, hupenda kuwa na majina meeeengi....!Shauri yako.... maana hata kama kapewa "ban" lazima atakuwa anachungulia humu akijiandaa kuja na ID mpya...!
Hapa unanishawishi!! Ninampenzi wangu anaitwa Elizabeth yani ni mbishi kupita maelezo mpaka nafikiria kujivua gamba!! Kama upo hapa jf naomba utambue kuwa unakaribia kubwagwa!!!Elizabeth - wabishi, wanajifanya kila kitu wanajua. wana akili sana lakini hawadumu katika ndoa..
wana akili sana ila malaya sana kama akina lilian amini hivyo.Martina wana tabia gani?
hahahaha! Uchokozi huofaiza foxy na malaria sugu je??!!
Mara nyingine inachukuliwa kimzaha lakini ina ukweli. Sio wote lakini zaidi ya asilimia 75 ya wanawake wenye majina yafuatayo wana tabia zifuatazo (nataja wachache)
Rose - viongozi, wanapenda sana waume zao, wachapa kazi endapo wakiajiriwa
Lilian - M alaya, wengi hupata mimba kabla ya kumaliza shule, sexy, mapepe
Mary - hawatabiriki, wengi ni watiifu sana na hawajiamini, akiaribika anaharibika jumla
Flora - ni wachakarikaji sana kimaisha, wana misimamo sana na akiolewa mume asipokuwa makini anatawalika
mengine ongezenei wenyewe. mi ntaongeza baadae
Kwa wanaume
Frank - ni wahuni, mabishoo, wanabadili wanawake kila kukicha
Ben - wana busara, wanapenda madem, ni viongozi wazuri
Peter - Ni viongozi wazuri, wana hekima
James - wana utani sana, wanavutia sana wasichana, na wanacheat sana, hawako siriaz
mengine ntaongeza baadae...
Mie naitwa Siwema.
sample size na mode of sampling ya utafiti wako plzzzzzzzz
nami pia naunga mkono hapo kwa lly...polen akina lilyKuhusu lily nakubaliana na wewe asilimia mia moja..
Mara nyingine inachukuliwa kimzaha lakini ina ukweli. Sio wote lakini zaidi ya asilimia 75 ya wanawake wenye majina yafuatayo wana tabia zifuatazo (nataja wachache)
Rose - viongozi, wanapenda sana waume zao, wachapa kazi endapo wakiajiriwa
Lilian - M alaya, wengi hupata mimba kabla ya kumaliza shule, sexy, mapepe
Mary - hawatabiriki, wengi ni watiifu sana na hawajiamini, akiaribika anaharibika jumla
Flora - ni wachakarikaji sana kimaisha, wana misimamo sana na akiolewa mume asipokuwa makini anatawalika
mengine ongezenei wenyewe. mi ntaongeza baadae
Kwa wanaume
Frank - ni wahuni, mabishoo, wanabadili wanawake kila kukicha
Ben - wana busara, wanapenda madem, ni viongozi wazuri
Peter - Ni viongozi wazuri, wana hekima
James - wana utani sana, wanavutia sana wasichana, na wanacheat sana, hawako siriaz
mengine ntaongeza baadae...
Mh!.. Mi nnavyojua tabia ya mtu inatokana na malezi aliyopata kwao + mazingira anayoishi + shule alizosoma... Ila jina?? Sijawahi kusikia!