maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Hakuna kitu kinanikera kama tabia hizi za vijana wa mjini wao wanajiita wazawa
Kuomba posho yaani hii tabia siipendi kabisa mtu ukikutana nae tu kama hamjaonana kitambo lazima akulilie posho yaani atakukazia adi utajikuta unampa
Uvivu hii inakera kweli unakuta mtu anaamka asubuhi anaenda kucheza mpira analudi kwa baba anagongea chai baada ya hapo anaingia kijiweni kucheza draft yaani yeye ratiba ya kazi kwake haipo kabisa
Kupenda kazi simple yaani asilimia kubwa ya vijana was town wanapenda kazi simple isiyo tumia nguvu was akili yaani kazi yao ni udalali hakuna kingine wanachoweza
Na we we ongezea tabia za vijana wa mtaani kwako zinazokukera
Kuomba posho yaani hii tabia siipendi kabisa mtu ukikutana nae tu kama hamjaonana kitambo lazima akulilie posho yaani atakukazia adi utajikuta unampa
Uvivu hii inakera kweli unakuta mtu anaamka asubuhi anaenda kucheza mpira analudi kwa baba anagongea chai baada ya hapo anaingia kijiweni kucheza draft yaani yeye ratiba ya kazi kwake haipo kabisa
Kupenda kazi simple yaani asilimia kubwa ya vijana was town wanapenda kazi simple isiyo tumia nguvu was akili yaani kazi yao ni udalali hakuna kingine wanachoweza
Na we we ongezea tabia za vijana wa mtaani kwako zinazokukera