Tabiri kichwa cha habari cha magazeti ya kesho

Mkae mkijua magazeti ya kesho hakuna jina la makonda au bahari kuhusu makonda
Sio kweli, ipo hivi endapo Bashite atakuwa p.coference yake, au kitu chochote ndo hawatahudhuria, kuandika au kutangaza. Ila kama habari itakuwa inamhusu Bashite kuvamia au kutoka kwngne ina against NDIYO Wataandika.
 
 
Habari za Makonda zimewanufaisha sana media na magazeti... katika utafiti nimeona wafwatiliaji ni wengi na hapa kitaa wamekasirika sana kusikia habari zake hazitavuma kama awali... wengi wanapenda kufwatilia story za Makonda na wanashauri kuwe na website... www.makonda.go.tz hata media wasipotangaza wamesema bandle Lipo watu tunagoogle tuu...
 
Mwanzo wa mwisho wa Albert waanza.
Bashite aligoma kuonge ana wanakamati
Mwanzo na mwisho wa Bashite
Je, atatoka?
Nape ajitoa muhanga kama Yesu wakati huu wa kwalesima.
Nape ajitoa kifuatacho ni live bunge kama atakuwa live mwenyewe.
Ya Bashite minus Lioba nani alimwakilisha?
TBC, Uhuru, Mzalendo, Star TV, wadinda au wamekaa kimya tu?
Mhu ya Bashite na sisi JF tutafanyaje jina limefutika??????????
Hivi nani alighalimia Nape kuwa live wakati hakuna pesa za live nchini.
 
Sio kweli, ipo hivi endapo Bashite atakuwa p.coference yake, au kitu chochote ndo hawatahudhuria, kuandika au kutangaza. Ila kama habari itakuwa inamhusu Bashite kuvamia au kutoka kwngne ina against NDIYO Wataandika.
Kaka ukae ukijua kwamba jina la makonda halitakiwi kutajwa kwenye chombo cha habari ndio masna jamii forum wameliban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…