Wapo kama makinda ya ndege yenye matumaini ya kuwa mama analetaHadi vyuoni huko licha ya kuwa kuna kero nyingi wanafunzi wa sasa hawana ujasiri wa kugoma....
Ndio MzeeSio wanafunzi tu, hata watumishi Sasa hivi ni ndio mzee!
Madhara yake ukiumwa covid wanaomba kwa juhadi zote upumzike kwa amani huenda ajaye akaleta tumaini jipya.Sio wanafunzi tu, hata watumishi Sasa hivi ni ndio mzee!