Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Dereva wa gari kubwa ya kuchanganyia zege yenye namba za usajili T. 414 BPD ambaye jina lake halijafahamika kwa haraka, amefariki dunia, huku watu wengine watatu wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori hilo na gari ndogo lenye namba za usajili T. 531 ANP.
Ajali hiyo imetokea katika mtaa wa Mbilani kata ya Ng'ambo, Manispaa ya Tabora huku chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa lori.
Ajali hiyo imetokea katika mtaa wa Mbilani kata ya Ng'ambo, Manispaa ya Tabora huku chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni mwendokasi wa dereva wa lori.