Tabora: Freeman Mbowe kuongoza Oparesheni Haki Kanda ya Magharibi

Tabora: Freeman Mbowe kuongoza Oparesheni Haki Kanda ya Magharibi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Maandalizi ya kikao cha Mkutano Mkuu wa Jimbo la Tabora Mjini yamekamilika, ambapo leo Juni 06, 2021 mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe ataongoza kikao hicho. Hii ikiwa ni mwendelezo wa Oparesheni Haki Kanda ya Magharibi.

Capture.PNG
 
Back
Top Bottom