KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

KERO Tabora Manispaa, hasa Ipuli umeme unakatwa kila siku bila mpangilio, TANESCO tuambueni kama kuna mgao tujue

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Tabora Manispaa umeme unakatika sana bila mpangilio na hakuna taarifa yoyote, wanakata mchana na usiku, mjini kati, Ipuli, Isevya na maeneo mengine umene unakatwa ovyo ovyo.

Siku haiishi bila kukatika umeme, tena zaidi ya mara moja kuna siku umeme unashinda siku nzima haupo, na hakuna taarifa yoyote kama kuna mgao au la, na kuna wakati wanakata usiku au wanakata usiku na kurejesha na asubuhi wanakata tena.

Pia wanatabia ya kukata kurejesha kukata kurejesha inabaki zima waka zima waka yaani ni kuunguziana vifaa tu.

Kwa watu wenye biashara ni mateso sana hasara juu ya hasara, nyama na samaki zinaoza kwa kukosa umeme, saluni wateja hawahudumiki sabahu hakuna umeme.

Soma Pia:
~ TANESCO Kibondo wanakata umeme zaidi ya saa 12 bila taarifa. Kama kuna mgao watujulishe
~ TANESCO wamezidisha kukata umeme Kata ya Tura, Wilaya ya Uyui, Tabora


TANESCO mtujibu kwa nini mnakata umeme? Mnatutia hasara tu na hamsemi chochote, kama kuna mgao mtuambie na mtuambie siku za kukata na maeneo ili tujue. Na kama kuna mgao kwa nini uwepo?

Majibu ya TANESCO TABORA
Pia soma ~
TANESCO Tabora: Kulikuwa na hitilafu ya transfoma, imetatuliwa, kuhusu Uyui umeme utakatika tena kwa ajili ya matengenezo
 
Tabora Manispaa umeme unakatika sana bila mpangilio na hakuna taarifa yoyote, wanakata mchana na usiku, mjini kati, Ipuli, Isevya na maeneo mengine umene unakatwa ovyo ovyo.

Siku haiishi bila kukatika umeme, tena zaidi ya mara moja kuna siku umeme unashinda siku nzima haupo, na hakuna taarifa yoyote kama kuna mgao au la, na kuna wakati wanakata usiku au wanakata usiku na kurejesha na asubuhi wanakata tena.

Pia wanatabia ya kukata kurejesha kukata kurejesha inabaki zima waka zima waka yaani ni kuunguziana vifaa tu.

Kwa watu wenye biashara ni mateso sana hasara juu ya hasara, nyama na samaki zinaoza kwa kukosa umeme, saluni wateja hawahudumiki sabahu hakuna umeme.

Soma Pia: TANESCO Kibondo wanakata umeme zaidi ya saa 12 bila taarifa. Kama kuna mgao watujulishe

TANESCO mtujibu kwa nini mnakata umeme? Mnatutia hasara tu na hamsemi chochote, kama kuna mgao mtuambie na mtuambie siku za kukata na maeneo ili tujue. Na kama kuna mgao kwa nini uwepo?
Habari Nyendo, asante kwa kuwasiliana nasi na poleni kwa changamoto, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa msaada zaidi. ^GK
 
Tabora Manispaa umeme unakatika sana bila mpangilio na hakuna taarifa yoyote, wanakata mchana na usiku, mjini kati, Ipuli, Isevya na maeneo mengine umene unakatwa ovyo ovyo.

Siku haiishi bila kukatika umeme, tena zaidi ya mara moja kuna siku umeme unashinda siku nzima haupo, na hakuna taarifa yoyote kama kuna mgao au la, na kuna wakati wanakata usiku au wanakata usiku na kurejesha na asubuhi wanakata tena.

Pia wanatabia ya kukata kurejesha kukata kurejesha inabaki zima waka zima waka yaani ni kuunguziana vifaa tu.

Kwa watu wenye biashara ni mateso sana hasara juu ya hasara, nyama na samaki zinaoza kwa kukosa umeme, saluni wateja hawahudumiki sabahu hakuna umeme.

Soma Pia: TANESCO Kibondo wanakata umeme zaidi ya saa 12 bila taarifa. Kama kuna mgao watujulishe

TANESCO mtujibu kwa nini mnakata umeme? Mnatutia hasara tu na hamsemi chochote, kama kuna mgao mtuambie na mtuambie siku za kukata na maeneo ili tujue. Na kama kuna mgao kwa nini uwepo?
Njoo hapa KIOTA BAR umeme upo
 
Habari Nyendo, asante kwa kuwasiliana nasi na poleni kwa changamoto, tafadhali tufahamishe kama bado mnakosa huduma ya umeme kwa msaada zaidi. ^GK
Umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no

Namba ya mita ni 43001069764
 
Umeme naingiza auingii nimeshanunua mara 3 ukiingiza unasema no no no

Namba ya mita ni 43001069764
Habari pamjela, asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali rejea inbox (DM) kwa msaada zaidi. ^GK
 
Ndugu pamjela, tafadhali rejea inbox (DM) kwa msaada zaidi. ^GK
Akhsante sana TANESCO jambo langu limefanukiwa mafundi wenu walikuja leo ASUBUHI kulishighulikia tatizo langu na wamelitatua
Nashukuru sana kwa ushirikiano na msaada kwa haraka

Lakini hapa mtaa pili kuna NGUZO imeoza imekatika kabisa juu kwenye VIUNGIO kwa maana inashukiliwa na waya tu nakuwekea picha chini

Naimani mtakuja kuibadirisha kbla haijaleta madhara zaidi ipo nyumba ya nne kutoka nyumbani kqetu
Screenshot_20241206-122121.jpg
 
Back
Top Bottom