The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkuu wa Mkoa wa Tabora ametoa miezi mitatu kwa halmashauri zote mkoani hapo, kutenga maeneo yatakayokuwa na miundombinu ya kujificha ya kutengeneza na kuuzia masanduku ya kuzikia maiti (majeneza) kwani kwa sasa wauzaji wa masanduku hayo wanayauzia hadharani kando na hospitali hali inayoongeza hofu kwa wagonjwa na baadhi yao hupoteza maisha na wengine wanapata magonjwa ya akili.
Hata hivyo, wauzaji wa majeneza hayo wamekiri kuwa uuzwaji wa masanduku hayo katika maeneo ya wazi karibu na hospitali inaogofya wagonjwa na ndugu zao na kuunga mkono mpango huo wa Serikali.
Soma Pia: Majeneza getini mwa Hospitali ya Amana hayaleti taswira nzuri kwa Wagonjwa.
Chanzo: Radio One
Hata hivyo, wauzaji wa majeneza hayo wamekiri kuwa uuzwaji wa masanduku hayo katika maeneo ya wazi karibu na hospitali inaogofya wagonjwa na ndugu zao na kuunga mkono mpango huo wa Serikali.
Soma Pia: Majeneza getini mwa Hospitali ya Amana hayaleti taswira nzuri kwa Wagonjwa.
Chanzo: Radio One