Mkuu wa Mkoa wa Tabora ametoa miezi mitatu kwa halmashauri zote mkoani hapo, kutenga maeneo yatakayokuwa na miundombinu ya kujificha ya kutengeneza na kuuzia masanduku ya kuzikia maiti (majeneza) kwani kwa sasa wauzaji wa masanduku hayo wanayauzia hadharani kando na hospitali hali inayoongeza hofu kwa wagonjwa na baadhi yao hupoteza maisha na wengine wanapata magonjwa ya akili.
Hata hivyo, wauzaji wa majeneza hayo wamekiri kuwa uuzwaji wa masanduku hayo katika maeneo ya wazi karibu na hospitali inaogofya wagonjwa na ndugu zao na kuunga mkono mpango huo wa Serikali.
Kuna Moja nilisoma sehemu eti mfanyabiashara za majeneza alikuwa anapita ward za wagonjwa anachomoa dripu za wagonjwa Sasa sijui alikuwa ana maana Gani yule bwana 😆
Mkuu wa Mkoa wa Tabora ametoa miezi mitatu kwa halmashauri zote mkoani hapo, kutenga maeneo yatakayokuwa na miundombinu ya kujificha ya kutengeneza na kuuzia masanduku ya kuzikia maiti (majeneza) kwani kwa sasa wauzaji wa masanduku hayo wanayauzia hadharani kando na hospitali hali inayoongeza hofu kwa wagonjwa na baadhi yao hupoteza maisha na wengine wanapata magonjwa ya akili.
Hata hivyo, wauzaji wa majeneza hayo wamekiri kuwa uuzwaji wa masanduku hayo katika maeneo ya wazi karibu na hospitali inaogofya wagonjwa na ndugu zao na kuunga mkono mpango huo wa Serikali.
Kwa jamii iliyostaarabika hii si biashara ya kufanyia hadharani au jirani na hospital. Wakati watu wanaingia hospital kupambania uhai wao. Wauzaji wao wanatamani/ikibidi wanaloga wagonjwa wafe wapate hela.
Hii siyo sawa. Yawekwe maeneo maalumu kwa biashara hiyo,tena isiwe open space.
Kwa jamii iliyostaarabika hii si biashara ya kufanyia hadharani au jirani na hospital. Wakati watu wanaingia hospital kupambania uhai wao. Wauzaji wao wanatamani/ikibidi wanaloga wagonjwa wafe wapate hela.
Hii siyo sawa. Yawekwe maeneo maalumu kwa biashara hiyo,tena isiwe open space.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amemuagiza katibu tawala wa mkoa huo kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya wafanya biashara wa majeneza ili waondoe shughuli zao nje ya Hospitali ya Kitete.
Amesema kuendelea kufanya biashara hiyo maeneo hayo tena hadharani, kunatajwa kuongeza hofu kwa wagonjwa wanaopelekwa kupata matibabu pindi wayaonapo yamepangwa nje.
Mkuu huyo wa mkoa ameyasema hayo leo Jumanne Novemba 5, 2024 baada ya kutembelea hospitali hiyo ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora na kushuhudia wafanya biashara wa majeneza wakifanya shughuli zao mbele ya lango kuu la hospitali hiyo.
Chacha amesema kuna baadhi ya wagonjwa wanaweza kukata tamaa na kuingiwa na hofu baada tu ya kuona jeneza mbele yake.