Pre GE2025 Tabora: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Tabora: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
1726468761566.jpeg

Mkoa wa Tabora unapatikana katikati ya Tanzania, unapakana na mikoa ya Shinyanga, Singida, Kigoma, Katavi, na Mbeya. Mkoa wa huu una ukubwa wa takriban kilomita za mraba 76,151, na ni miongoni mwa mikoa mikubwa zaidi nchini Tanzania.

SOMA PIA

Idadi ya Watu
Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Tabora una jumla ya watu 3,391,679. Idadi hii inajumuisha wanaume 1,661,171 na wanawake 1,730,508, na mkoa huu una jumla ya wilaya 8.

Mkoa wa Tabora una jumla ya Majimbo 8 ya kiuchaguzi yaliyogawanyika katika wilaya 8, Majimbo hayo ni:
  • Nzega Mjini
  • Bukene
  • Nzega Vijijini
  • Igunga
  • Manonga
  • Igalula
  • Tabora Kaskazini
  • Urambo
  • Sikonge
  • Tabora Mjini
  • Kaliua
  • Ulyankulu
Hali ya kisiasa Mkoani Tabora kulingana na Uchaguzi Mkuu uliopita, 2020

Uchaguzi Mkuu 2020, CCM ilishinda nafasi zote za Ubunge ndani ya Mkoa wa Tabora, Katika maeneo mengi, wagombea wa CCM walipita bila kupingwa kutokana na vyama vya upinzani kutokidhi vigezo kwa sababu zilizotolewa kuwa walikosea kujaza fomu au kuchelewa kurejesha fomu na wengine kujiondoa kwa sababu ya kile walichoeleza kuwa ni mazingira yasiyo ya haki kwenye mchakato wa uchaguzi.

Kwa upande wa Nafasi ya Urais CCM ilishinda nafasi hiyo kupitia Mgombe wake Hayati John Pombe Magufuli ambaye alishika nafasi hiyo mpaka mwaka 2021 ambapo Alifariki Dunia na kisha nafasi ya Urais kushikwa na aliyekuwa Makamu, Rais Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia:

Januari

February
March
  1. Pre GE2025 - Waziri Mkuu azindua stendi ya Bilioni 4 Nzega
  2. Mbunge Gulamali apendekeza moja Shule Nzega Vijijini ipewe jina la Dkt. Kigwangala
  3. Kamati ya Bunge yaridhishwa na ujenzi wa bwawa Uyui; Wizara ya maji yapongezwa
 
Back
Top Bottom