Tabora mjihadhari na njaa inayoletwa na wafanyabiashara wenye tamaa

Kaluguyu

Senior Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
174
Reaction score
135
Nipo Tabora siku ya pili leo nimeshangaa kwa mara ya kwanza mwaka huu mchele umepanda ghafla toka 800-16000 na Kuwa 1600 hadi 2300.

Kuulizia sababu naambiwa kuna wafanyabiashara toka Kenya, Uganda, Sudan Kusini na wenzetu wa Zanzibar ambao wanachukua mchele wa Tabora na Shinyanga na kwenda ku export katika nchi za kiarabu.

ANGALIZO: Uongozi wa mkoa kuzuia hali hii mapema kabla mambo hayajaharibika.
 
Njaa ipo amini usiamini, kama unaweza weka akiba usikalie siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…