Tabora: Mtumishi wa Afya akijibu mbovu kwa watu kumstukia juu ya vitu vilivyo-expire

Tabora: Mtumishi wa Afya akijibu mbovu kwa watu kumstukia juu ya vitu vilivyo-expire

Huyu dada atapandishwa cheo.Aliyemrekodi atasomeshwa namba.ETHICS ETHICS ETHICs ethics
Kwa nini?
Hivi unafahamu watumishi wa jinsi hii wanavyokatisha tamaa wengine kutoa huduma bora?

Kama anathubutu kusema maneno makali hivi kwa mtumishi mwenzie,unadhani kwa wagonjwa itakuwaje?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini?
Hivi unafahamu watumishi wa jinsi hii wanavyokatisha tamaa wengine kutoa huduma bora?

Kama anathubutu kusema maneno makali hivi kwa mtumishi mwenzie,unadhani kwa wagonjwa itakuwaje?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mkuu,kwa ninavyofahamu ,aliyemrekodi amevuka mstari alipoipost hii video hapa.Hawa wote ni watumishi wa umma
 
Back
Top Bottom