Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Hata sijui, nimeiokota duniani hukoKituo gani?
Kwa nini?Huyu dada atapandishwa cheo.Aliyemrekodi atasomeshwa namba.ETHICS ETHICS ETHICs ethics
Mkuu,kwa ninavyofahamu ,aliyemrekodi amevuka mstari alipoipost hii video hapa.Hawa wote ni watumishi wa ummaKwa nini?
Hivi unafahamu watumishi wa jinsi hii wanavyokatisha tamaa wengine kutoa huduma bora?
Kama anathubutu kusema maneno makali hivi kwa mtumishi mwenzie,unadhani kwa wagonjwa itakuwaje?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyo dada kwa hayo majibu unadhani nini atafanywa ili arekebishe tabia yake?Hii rahisi sana,Hawa wote wataitwa,aliyevujisha kakosea,kama ni mtumishi wa Hapo angeweza kulimaliza Hilo suala yeye mwenyewe.
0713Huyo dada kwa hayo majibu unadhani nini atafanywa ili arekebishe tabia yake?
Ni kuhamishwa kituo cha kazi,,au kuonywa na mganga Mkuu wa Mkoa...Huyo dada kwa hayo majibu unadhani nini atafanywa ili arekebishe tabia yake?
Huyo dada kwa hayo majibu unadhani nini atafanywa ili arekebishe tabia yake?
Angeweza kushauri tufanyaje ,lakini inaonekana kama aliamua kumchoma huyo dada pia huko kazini kwao.Uyo wa kiume chokooooo sana
Ni kuhamishwa kituo cha kazi,,au kuonywa na mganga Mkuu wa Mkoa...
Lakini pia wangeweza onyana wao kwa wao.