Tabora: Mwalimu wa Kituo cha Watoto adaiwa kumlawiti Mwanafunzi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Mwalimu wa shule ya kulelea watoto Tabora anatafutwa kwa kosa la kulawiti mtoto wa shule

Mwalimu mkuu wa shule hioo amesikitika sana na kusema mtoto huyo alikuwa akifanywa chooon

Mama wa Mtoto anasema alishangaa sikuhio mtoto amekuja ananuka alipombana mtoto akamtaja mwalm

Wakaenda mchunguza

Hatahivyo ndugu wa alielawiti wanahangaika kumhonga mama wa mtoto wayamalize

Mkuu wa mkoa ameapa atapatikana na kulaani hili.

Hivi 2024 kuna pepo gani jamani

ITV Habari
 
Mkuu wangu wa mkoa ujawahi kutuangusha hawa wahuni wafikishwe mapema mahakaman jana hayaya mwaka uchunguzi kama wana ushahidi wapite na sheria tu

 
Kutokutaja shule kunaleta wasiwasi, hii taarifa haijakamilika
Hata TV huna mkuu wanarudia saa nne..cheki website ya itv

Wakati mwingjne shule zinahitajika kuhifadhiwa sio wote wana akili hizo watu waziogope shule
 

Attachments

  • 20240807_200750.jpg
    2.7 MB · Views: 2
HUU MWAKA SIJUI UNA MAJINI KHA
 
Nahitaji kujua umri wa mtoto, darasa pia.

Ili nichangie kwa welediii.
 
Kuna mambo ukiyasikia unawaza hivi ni hamu? Uwendawazimu au uchawi?

Nitashangaa sana nikigundua kua shida ni hamu, nitashangaa sana, kipindi hiki ambapo unaweza pata papuchi kwa 5000 tu ukatoka mwepesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…