Tabora: Mwanafunzi auawa na kunyofolewa sehemu za siri

Dah inasikitisha sana, waganga wa michongo wanasababisha mauaji kwa wasio na hatia.
 

 
Inasikitisha sana na pole yao sana wafiwa...
 
Kuna zama fulani za hatari zilipotea hapa katikati naona sasa zinarudi kwa kasi..
 
Dunia inaviumbe wa ajabu wa kila namna.r.i.p Maria.
 
Serikali jamani, polisi mpo wapi walinzi wa raia na mali zake?

Mama Samia Rais wetu, kaka yako Magufuli aliwezaje kudhibiti maovu haya?

Mama Samia wewe unashindwaje Mama? Toa tamko. Ukisema RPC, OCD, DSO, RC na DC wawajibike kwa kila tukio la mauaji naamini haitatokea tena mama.

Wananchi tunaogopa kutembea katika nchi yetu wenyewe. Wazazi tunaogopa watoto kwenda shule.

Hivi waziri wa ulinzi yupo? Akiuawa mtoto wa Mkubwa serikalini mtakaa kimya kweli?

Inauma, inaumiza sana. Hesabuni mauaji ambayo yametokea tangu March 2021 mpaka sasa. Tunaumia, tunapiga, tuna wasiwasi.
 
Inawezekana watu wenye imani za kishirikina kama zako ndio hao waliomua huyo binti.
 
Nchi iliyojaa makanisa na misikiti kila kona, mauaji yamekithiri kila kona.
 
Kilicho nisikitisha zaidi ni mtoto dahh sijui tunaelekea wapi

😓😓😓
 
Huyo Baba anajua ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…