LGE2024 Tabora: Tuhuma za wakala CHADEMA kutolewa kituoni zakanushwa

LGE2024 Tabora: Tuhuma za wakala CHADEMA kutolewa kituoni zakanushwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa jimbo la Nzega Vijijini na Bukhene, Mhandisi Modest Apolinary amekanusha kuhusu tuhuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kituo cha kupigia kura kwenye Chuo cha Ualimu Ndala (TTC) alitolewa na askari katika kituo cha kupiga kura.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:
LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Mhandisi Apolinary amekanusha kuwa malalamiko hayo sio ya kweli na kwamba askari walifika katika kituo hicho kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kusimamia usalama kwenye vituo vya kupiga kura na hawakuingia ndani ya kituo hicho.

Aidha, Apolinary ameeleza kuwa baada ya kusikia malalamiko hayo alifika katika kituo hicho na hakukuta mtu yeyote anayelalamika kuhusu kufukuzwa kwenye kituo hicho.
 
Mbona majibu yapo blank Sana. Kwamba alipofika kituoni hakumuona mtu yeyote anayelalamika. Swali alimkuta wakala wa CHADEMA kituoni.
 
Mbona majibu yapo blank Sana. Kwamba alipofika kituoni hakumuona mtu yeyote anayelalamika. Swali alimkuta wakala wa CHADEMA kituoni.
Nipo Nkasi huko karibu vitongoji vyote wamechukua CCM kwa nilioyaona huku siku ya uchaguzi ulikuwa huru ila vurugu ngumi vilikuwepo kabla ya uchaguzi
Mfano hapa Kirando siku Moja kabla ya uchaguzi makundi mawili mahasimu CCM/CHADEMA Walikutana usiku kwenye kampeni/mikakati mwisho mwisho zikapigwa watu wawili wamevunjika miguu mmoja wa CCM na mwingine CHADEMA sasa hivi wapo zahanati ya Kijiji wanauguza majerahaa
 
Wakuu,

View attachment 3163839

Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa jimbo la Nzega Vijijini na Bukhene, Mhandisi Modest Apolinary amekanusha kuhusu tuhuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kituo cha kupigia kura kwenye Chuo cha Ualimu Ndala (TTC) alitolewa na askari katika kituo cha kupiga kura.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Mhandisi Apolinary amekanusha kuwa malalamiko hayo sio ya kweli na kwamba askari walifika katika kituo hicho kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kusimamia usalama kwenye vituo vya kupiga kura na hawakuingia ndani ya kituo hicho.

Aidha, Apolinary ameeleza kuwa baada ya kusikia malalamiko hayo alifika katika kituo hicho na hakukuta mtu yeyote anayelalamika kuhusu kufukuzwa kwenye kituo hicho.
Wizi wa kura kila mahali ni aibu kabisa.
 
Wakuu,

View attachment 3163839

Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa jimbo la Nzega Vijijini na Bukhene, Mhandisi Modest Apolinary amekanusha kuhusu tuhuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wakala wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kituo cha kupigia kura kwenye Chuo cha Ualimu Ndala (TTC) alitolewa na askari katika kituo cha kupiga kura.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari, Mhandisi Apolinary amekanusha kuwa malalamiko hayo sio ya kweli na kwamba askari walifika katika kituo hicho kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kusimamia usalama kwenye vituo vya kupiga kura na hawakuingia ndani ya kituo hicho.

Aidha, Apolinary ameeleza kuwa baada ya kusikia malalamiko hayo alifika katika kituo hicho na hakukuta mtu yeyote anayelalamika kuhusu kufukuzwa kwenye kituo hicho.

Kwa nini anataka tumuamini yeye badlands ya mtoa tuhuma. Halafu hivyo vyama Rafiki anavyodai waliongea navyo ni vyama gang hivyo...!?
 
Back
Top Bottom