Tabora umeme unakatika sana, kuna mgao wa umeme?

Tabora umeme unakatika sana, kuna mgao wa umeme?

maukijunior

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
233
Reaction score
366
Wakuu habari za muda huu, kwanza poleni sana na majukumu binafsi sio mwandishi mzuri saana lakini ntajitahidi kafli niwezavyo kuwakilisha ujumbe huu.

Wiki iliyopita nilikua mkoani Tabora kuna mitikasi fulani nilikua nafanya ili mkono uende kinywani, wakati nimefika tu siku ya kwanza nimeamka asubuhi nikakuta umeme umekatika, nikahisi labda utarudi sio mda mrefu lakini nikakaa hadi jioni ndio umeme ukarejea nikashangaa sana.

Anyways nikahisi labda kuna marebisho TANESCO wanafanya, lakini ule mfumo uliendelea hadi naondoka tabora. Ijumaa nimerudi mkoani Songwe ninapoishi nimefika mida ya tatu nikakuta hakuna umeme nikauliza wadau wakaniambia toka asubuhi hakukuwa na umeme hadi muda huu zaidi ya masaa 12, na hili tatizo lipo hadi Mbeya mjini.

Swali, kuna mgao wa umeme nchi hii? Na hili suala ni baadhi ya mikoa tu au nchi nzima? Na kama kuna mgao kwanini serikali haisemi wazi ili watu wawe na angalizo?

NAOMBA KUWASILISHA
 
February Anafanya Maboresho Ya Grid, Akisaidiwa Na Maharage
 
Ukileta mada za legacy ya JIWE utasikia wewe sukuma gang mara sijui kufa nawewe

Ila kiukweli moja kati ya udhaifu mkubwa wa Utawala huu ni kufanya maamuzi na kudeal na matatizo ya msingi yanayoathiri maisha ya Mwananchi kwa kila namna!!

Umeme unakera aseeh!!
 
Wakuu habari za muda huu, kwanza poleni sana na majukumu binafsi sio mwandishi mzuri saana lakini ntajitahidi kafli niwezavyo kuwakilisha ujumbe huu.
Hata bwawa la Nyerere likikamilika tegemeeni umeme kukatikakatika.
 
Wakuu habari za muda huu, kwanza poleni sana na majukumu binafsi sio mwandishi mzuri saana lakini ntajitahidi kafli niwezavyo kuwakilisha ujumbe huu.

Wiki iliyopita nilikua mkoani Tabora kuna mitikasi fulani nilikua nafanya ili mkono uende kinywani, wakati nimefika tu siku ya kwanza nimeamka asubuhi nikakuta umeme umekatika, nikahisi labda utarudi sio mda mrefu lakini nikakaa hadi jioni ndio umeme ukarejea nikashangaa sana.

Anyways nikahisi labda kuna marebisho tanesco wanafanya, lakini ule mfumo uliendelea hadi naondoka tabora. Ijumaa nimerudi mkoani Songwe ninapoishi nimefika mida ya tatu nikakuta hakuna umeme nikauliza wadau wakaniambia toka asubuhi hakukuwa na umeme hadi muda huu zaidi ya masaa 12, na hili tatizo lipo hadi Mbeya mjini.

Swali, kuna mgao wa umeme nchi hii? na hili suala ni baadhi ya mikoa tu au nchi nzima? Na kama kuna mgao kwanini serikali haisemi wazi ili watu wawe na angalizo?

NAOMBA KUWASILISHA
Mwanza pia ni hivo.
 
Heee,,,nilipo huku kuna umeme ila wakati nasoma hii mada umeme ukashtuka kidogo.

Basi sichangii acha nakae kimya.
 
Kwa hali ya kawaida hasa nyumbani pambana na sola panel angalau kile cha wastani. japo uwe na uhakika wa kusikiliza redio na kuchaji simu. upande wa wasomi wa cuba deal done at finally. akili nyingi sana be kuelewa haya mambo.
 
Kwa hali ya kawaida hasa nyumbani pambana na sola panel angalau kile cha wastani. japo uwe na uhakika wa kusikiliza redio na kuchaji simu. upande wa wasomi wa cuba deal done at finally. akili nyingi sana be kuelewa haya mambo.
 
Kwa hali ya kawaida hasa nyumbani pambana na sola panel angalau kile cha wastani. japo uwe na uhakika wa kusikiliza redio na kuchaji simu. upande wa wasomi wa cuba deal done at finally. akili nyingi sana be kuelewa haya mambo.
 
Ushauri mzuri sana huu vijana wauzingatie tukiwa tunaendelea kupunguza maji yaliyojaa hadi kupitiliza kwenye plant.
 
Swali, kuna mgao wa umeme nchi hii? na hili suala ni baadhi ya mikoa tu au nchi nzima? Na kama kuna mgao kwanini serikali haisemi wazi ili watu wawe na angalizo?

NAOMBA KUWASILISHA
Wakati wa kusema sema nao ushapitwa na wakati cha maana ni umeme usikatike hatukuwaweka pale ili walete excuses...., hata kusema tu hata mimi na wewe tunaweza hata bila kulipwa
 
Back
Top Bottom