Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, pamoja na kupanda bei ya mafuta ya magari lakini kwa Tabora ni shida kama hupo mjini kati.
Mjini kati pana vituo kama vitano hivi karibu karibu hivo kukufanya kama unaishi mfano Ipuli, kilometa takriban 5 kwenda mjini, kupata shida ya kuongeza mafuta mjini.
Nashauri, mie uwezo sina, wenye uwezo waweke vituo vya mafuta hayo pembezoni mwa mji kwani unakuwa kila siku.
Mjini kati pana vituo kama vitano hivi karibu karibu hivo kukufanya kama unaishi mfano Ipuli, kilometa takriban 5 kwenda mjini, kupata shida ya kuongeza mafuta mjini.
Nashauri, mie uwezo sina, wenye uwezo waweke vituo vya mafuta hayo pembezoni mwa mji kwani unakuwa kila siku.