Tabora: Wajasiriamali wa Kachoma walaumu kuvunjwa kwa vibanda usiku wa manane na kupoteza mali zao

Tabora: Wajasiriamali wa Kachoma walaumu kuvunjwa kwa vibanda usiku wa manane na kupoteza mali zao

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wajasiriamali wadogo waliopewa eneo la gati la maji nje ya soko la Kachoma, Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora ili wafanyie biashara zao kwa muda huku serikali ikiwatafutia maeneo mapya na sahihi ya kufanyia biashara, wamelalamikia kuvunjwa kwa vibanda vyao usiku wa manane pasi na kutafutiwa maeneo mapya wala kupewa notisi ya kuondoka eneo hilo kisha bidhaa zao zenye thamani ya kuanzia shilingi laki mbili kwenye kila kibanda zikachukulia na wavunjaji ambao bado hawajafahamika.

 
Wajasiriamali wadogo waliopewa eneo la gati la maji nje ya soko la Kachoma, Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora ili wafanyie biashara zao kwa muda huku serikali ikiwatafutia maeneo mapya na sahihi ya kufanyia biashara, wamelalamikia kuvunjwa kwa vibanda vyao usiku wa manane pasi na kutafutiwa maeneo mapya wala kupewa notisi ya kuondoka eneo hilo kisha bidhaa zao zenye thamani ya kuanzia shilingi laki mbili kwenye kila kibanda zikachukulia na wavunjaji ambao bado hawajafahamika.

Kachoma ilianza kama kilabu cha pombe za kangara na nyama za kuchoma miaka ya 40 mpaka leo pako vilevile! CCM mnadhambi!
 
Back
Top Bottom