Pre GE2025 Tabora: Wananchi Wampongeza Dkt. Samia, Dkt. Mwinyi na Dkt. Nchimbi kwa Kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Tabora: Wananchi Wampongeza Dkt. Samia, Dkt. Mwinyi na Dkt. Nchimbi kwa Kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Wananchi wakiwemo wazee, viongozi wa kiserikali na wnachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoani Tabora leo tarehe 22 Januari 2025 wamefanya matembezi ya Amani kuanzia Ofisi za CCM Mkoa hadi Viwanja vya CCM Wilaya ya Tabora kumpongeza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi kuwa wagombea mwenza (Bara) wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-22 Instagram.png


Matembezi hayo yaliongozwa na Mkuu wa wilaya ya Tabora Mhe. Deusdedith Katwale na Kupokelewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tabora Ndugu Saidi Nkumba Viwanja ya CCM Wilaya ya Tabora.
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-31 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-36 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-42 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-46 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-38-06 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-38-00 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-53 Instagram.png
Screenshot 2025-01-23 at 10-37-46 Instagram.png
 
Vipi hawa walioweka pesa zao ili kuchukuwa forms za kugombea Uraisi kwa mujibu wa katiba ya CCM itakuwaje ?? au waende mahakamani , Mahakama ya CCM ??
 
Back
Top Bottom