Tabu ya malazi udsm

kamanda2

New Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
1
Reaction score
0
daaaaa tunaosoma udsm tunapata malazi mwaka wa kwanza tuu yani mda wakurudi kuanza muula wa pili au wa tatu ni bahati na sibu asilimia 90 amna malazi ukikosa wakukubeba kazi ipo....unatakiwa kupiga desa malaz amna no fweza yaniii tabu tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…