A
Anonymous
Guest
Tunakaa miezi miwili mpaka mitatu bila malipo na wakilipa wanalipa mwezi mmoja malimbikizo yanakuwa mengi. Hivyo inatufanya maisha yanakuwa magumu kiasi kwamba tunakosa hata nauli.
Tunaomba watuonee huruma tunajitolea ili kupata uzoefu wa kazi tunashindwa kuendelea na kazi kwa sababu ya kukosa ya posho inayotusaidia kujikimu katika eneo la kazi.
Tunaomba watuonee huruma tunajitolea ili kupata uzoefu wa kazi tunashindwa kuendelea na kazi kwa sababu ya kukosa ya posho inayotusaidia kujikimu katika eneo la kazi.