Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Tatizo ni kwamba leo Msekwa ataonekana mtu wa maana kwa sababu kaongea jambo lenye kuwafurahisha watu fulani ila Msekwa huyohuyo siku nyengine akiongea jambo lisilowafurahisha hata kama ndio ukweli basi ataonekana ni hovyo.

Tuache hii tabia.
Kwa hiyo unataka alaumiwe hata akitamka kweli?!
 
Mwaka 1977 wakati katiba inatengenezwa Mama Anna Makinda alikuwa anadanga pale Makambako mitaa ya Esso karibu na TAZARA.

Akae kimya tutatoa mafaili yake yote.
 
Kwa hiyo unataka alaumiwe hata akitamka kweli?!
Tatizo sio Msekwa bali watu ambao wanatabia ya kumsifia mtu pale anapoongea yale wanaopenda kuyasikia na ikitokea mtu huyo akiongea wasiopenda kuyasikia hata kama ni ukweli basi wanamshambulia na kumtoa akili.
 
Atakuja Pasco mayala aka njaa atapinga Hilo

Vituko haviishi
 
Tatizo ni kwamba leo Msekwa ataonekana mtu wa maana kwa sababu kaongea jambo lenye kuwafurahisha watu fulani ila Msekwa huyohuyo siku nyengine akiongea jambo lisilowafurahisha hata kama ndio ukweli basi ataonekana ni hovyo.

Tuache hii tabia.

Msekwa hajaonekana wa maana, bali tunashangaa amepata wapi ujasiri wa kuongea ukweli.
 
Tatizo ni kwamba leo Msekwa ataonekana mtu wa maana kwa sababu kaongea jambo lenye kuwafurahisha watu fulani ila Msekwa huyohuyo siku nyengine akiongea jambo lisilowafurahisha hata kama ndio ukweli basi ataonekana ni hovyo.

Tuache hii tabia.
Chadema hawaeleweki kabisa Halima alivyokuwa anaheshimiwa huko ufipa leo dah mijitusi wanayomtukana kha!
 
Kuna wanaoamua kustaafu wa heshima wengine wakiamua kustaafu kwa fedheha na aibu.
 
Ukiongea mashudu haitojalisha ww n nan???utapewa za uso tu
Tatizo ni kwamba leo Msekwa ataonekana mtu wa maana kwa sababu kaongea jambo lenye kuwafurahisha watu fulani ila Msekwa huyohuyo siku nyengine akiongea jambo lisilowafurahisha hata kama ndio ukweli basi ataonekana ni hovyo.

Tuache hii tabia.
 
Anza na hii nakuja pointi yako imeniingia
 
We sio mdogowetu kwa ulichokiandika nasema hivi MUCH RESPECT BROTHER
 
Msekwa hajaonekana wa maana, bali tunashangaa amepata wapi ujasiri wa kuongea ukweli.
Tafadhali Mama Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Kwani kuna aliyekatazwa kusema ukweli?mbona Msekwa hajaanza leo kusema ukweli,shida ni kwamba siku ambayo ataongea ukweli ambao hautowafurahisha ndio hamtosema tena kuwa katumia usomi na mtamuweka kuwa size sawa na Makinda.
 
CCM walizunguka nchi nzima kuutangazia uma kwamba wapinzani wanakwamisha maendeleo na ndiomaana wakakwapua majimbo yote hili bungeni wawe pekeyao chakushangaza leo hii tena wanawalazimisha wapinzani kwenda bungeni kwa nguvu amakweli hii dunia ina maajabu yake. Kuna nini Kwan
 
Nguvu gani iliyotumika kupeleka wapinzani bungeni? kama akina Mdee wametajiwa dau wakalikubali basi hiyo ndio shida ya wapinzani tuliyonao hakuna nguvu hapobiliyotumika.
 
Tatizo huelewi chochote.

Sheria inasema ukishafutiwa uwanachama wa chama cha siasa, kama ulikuwa mbunge, unaupoteza ubunge, haijalishi umefukuzwa kwa namna gani.

Upande wa pili ni katiba ya chama. Katiba ya chama ndiyo inayoeleza kwa nana gani na kwa makosa gani unaweza kufutiwa uwanachama. Na kama hukuridhika unaweza kukata rufaa wapi. Kuna vyama katiba zao zinazuia kabisa migogoro ya chama na wanachama kupelekwa mahakamani.

Sasa wewe unayeropoka hapa, unafahamu katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu kumfutia mwanachama uwanachama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe huwa mbatumia njia haramu???
Nguvu gani iliyotumika kupeleka wapinzani bungeni? kama akina Mdee wametajiwa dau wakalikubali basi hiyo ndio shida ya wapinzani tuliyonao hakuna nguvu hapobiliyotumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…