Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Msamehe bure huyo ajuza ndiyo maana mpaka leo hana mtoto
 

Katiba ya tanzania sawa na drafti
Alafu chadema sawa timu ya england ina klabu bora na wachezaji bora ila kitaifa ni utumbo.

Kuna mengine tu baki kuangalia tu ilimaisha ya kwende
 

Tuna uwezo wa kupima ukweli na uzandiki.
 
Tuna uwezo wa kupima ukweli na uzandiki.
Na mnatakiwa muukubali ukweli hata kama hauwafurahishi,sio mtu akiwaambia ukweli usiowafurahisha mnaanza kumshambulia na kumtoa akili.
 
Nguvu gani iliyotumika kupeleka wapinzani bungeni? kama akina Mdee wametajiwa dau wakalikubali basi hiyo ndio shida ya wapinzani tuliyonao hakuna nguvu hapobiliyotumika.
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.
 
Well said

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Sijajua huo mlinganisho una maana gani?
 
Lugha ya Sheria ni ngumu sana ndiyo maana tunasumbuliwa mahakamani. Ibara ya 71 (1) (e) ina sema:
"(e) ikiwa Mbunge ataacha kuwa mwanachama wa chama alichokuwamo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa
kuwa Mbunge"
tunaweza kusumbuana hapo tu sababu hawa wajaacha bali wamefukuzwa bila kupewa haki ya kusikilizwa 😂 😂
 
Tatizo mabavicha wengi hawajui hata katiba ya chama chao,wao ni kukurupuka
 
Mama Anna, Pius kalitumikia Taiafa letu zuri lenye jina zuri sana, mandhari mazuri mno aliyotujalia Manani/Mwenyezi Mungu Mwenye Rehema. Huyu baba hajastaafu kutumia akili yake aliyojaliwa na Mungu Baba tofauti kabisa na wengine ambao wanaendelea kulinajisi TAIFA letu pendwa mno aliyotuachia MWALIMU NYERERE. Hatujui hata tunakokwenda. MUNGU BABA tunusuru na linusuru nchi yako uliyoipenda mno. Katika hili tuache unafiki. Sema kweli ukuweke huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…