Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Mama anamtetea mzee kwasabu anajua hizi zama tulizonazo saahiv...hata mi namuunga mkono au umesahau habar za kuambiwa mstaafu anawashwa washwa? Msekwa anatakiwa atulie alee wajukuu sahiv maana hajui kilichomo ndan ya serikal kwasasa
 
Sijajua huo mlinganisho una maana gani?
Chadema ni imani. Chama kipo kwenye mioyo ya watu. Chadema imevuka hatua zote za kuuwawa na wafilisti wenye mamlaka. Viongozi watafungwa, wanachama watafungwa na kupotezwa. Lakini chama kitasimama imara. Chadema imevuka vikwazo vyote vigumu. Chadema ni mabadilko na uhuru wa kweli

Ndugai mmoja ni sawa na headless chicken
 
Hiyo sawa na mapenzi ya timu ya mpira. Maana wachezaji wanaondoka na kuja wapya viongozi wanabadilishwa yani timu inaweza kubadilika kila kitu likabaki jina tu ila bado mtu anaendelea kushabikia.
 
Hiyo sawa na mapenzi ya timu ya mpira. Maana wachezaji wanaondoka na kuja wapya viongozi wanabadilishwa yani timu inaweza kubadilika kila kitu likabaki jina tu ila bado mtu anaendelea kushabikia.
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.
 
Na ndiyo maana mie huwa naona vyama vya upinzani ni hovyo kushinda huyo ccm,maana kwa hayo maelezo yako ni kwamba Chadema kaiga kwa ccm na kazidisha kwa kuwatukana hao wanawake.
 
Na ndiyo maana mie huwa naona vyama vya upinzani ni hovyo kushinda huyo ccm,maana kwa hayo maelezo yako ni kwamba Chadema kaiga kwa ccm na kazidisha kwa kuwatukana hao wanawake.
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.
 
Dah! Umeandika vuzuri sana. Yaani kwa ufupi ila point tupu. Mtu kaamua yeye kukaa kimya anataka na wengine wanyamaze.
 
Tatizo ni kwamba leo Msekwa ataonekana mtu wa maana kwa sababu kaongea jambo lenye kuwafurahisha watu fulani ila Msekwa huyohuyo siku nyengine akiongea jambo lisilowafurahisha hata kama ndio ukweli basi ataonekana ni hovyo.

Tuache hii tabia.

Kwani hao wanaomuona siyo wamaana siku akiwa sifia si watamuona wamaana pia, mtu anasifiwa akitenda mema akikosea anasema kuna tatizo gani hapo
 
Kwani hao wanaomuona siyo wamaana siku akiwa sifia si watamuona wamaana pia, mtu anasifiwa akitenda mema akikosea anasema kuna tatizo gani hapo
Yani wewe ukiongea jambo ambalo mimi linanifurahisha basi nakusifia kwa sababu ulichoongea ndio nachotaka kusikia,ila siku ukiongea jambo ambalo halinifurahishi hata kama ni jambo la kweli basi nakutukana au nakuona ni mjinga na ulichoongea ni ujinga tu,kwanini? sababu ulichoongea sio nachotaka kukisikia.

Je,hapo mkuu hauoni tatizo?
 
Humu hatuangalii lugha, tunaangalia hoja. Big up mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…