Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

When ceases to be a member!


 
Labda nikuulize, Msekwa kaongea anavyoona yeye kwa utashi wake au katafsiri sheria inavyotaka? Maana naona kama unataka kupotosha.
 
Hawawezi kutokea hao. Mark my word!
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
 
Anakuona Kama paka mapepe[emoji849]
 
Mzee Msekwa kapitwa na wakati, hajui hata kama kuna taratibu za bunge zimebadilishwa, ni miaka mingi sana imepita kwa mzee wetu Msekwa aendelee tu kucheza na wajukuu,hizi siasa za sasa awaachie vijana tumechoka kumsikia yeye tu ,kuanzia miaka ya 60 awe ni YEYE tu muongeaji na mjuaji wa siasa, akumbuke walikuwepo akina mzee Kingunge,wakafanya siasa wee mwishowe wakajipumzikia baada ya kuona zinaenda tofauti na walivyokuwa wanazifanya.
 
Labda nikuulize, Msekwa kaongea anavyoona yeye kwa utashi wake au katafsiri sheria inavyotaka? Maana naona kama unataka kupotosha.
Nasema hivi kuna siku huyohuyo Msekwa anaweza kuja kutafsiri sheria hizohizo lakini wakati huo hizo sheria zinakuwa zinawagusa watu fulani basi hapo ndipo Msekwa ataonekana hana maana ni miccm tu kama kawaida yao hapo hawatojali kwamba alichoongea ndivyo sheria inavyosema,na hapo ndipo naposema watu hutaka kusikia wanachokipenda.
 
Ccm ya kusifia sifia tu

Hakuna vijana wenye kutoa tafakuri

Sikiliza wabunge wao akina mwanaFA wakiongea

Sijui wameambia usiposifia utapokonywa ubunge!!!?

Watu wa Kariba ya msekwa hawapo tena

Saivi ni kusifia na kutegemea polisiccm kuwabeba
 
Huu ni ukweli na uwazi....na kama CCM kweli wanamapenzi na Nchi hii, basi wawatumie, Mzee Msekwa, Mzee Warioba na Mzee Butiku....watawavushaji salama kabisa ktk suala hili la Katiba.

Vinginevyo sijui....maana watu wengine wanaitwa vilaza...Guinea ipo Africa hii hii.....
 
Anaebisha umahiri na hitimisho la msekwa kiakili ni mende kama mende wengine. Universal is universisal period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…