GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni Mtangazaji ambaye ukiwa unamsikiliza akitangaza au hata akiwa anachangia mada fulani katika Kipindi chao cha asubuhi hutopata shida sana kujua ya kwamba lazima tu alikuwa na Mahusiano mabaya huko nyuma na Mtu wake na alimtenda vibaya mno ndiyo maana huwa anakuwa ' very emotional ' kwa mambo ya Kimahusiano yanayowahusu Wanaume.
Mary Edward Mzurikwao hajawahi kuwa ' neutral ' katika ' udadavuaji ' wake wa masuala ya Kijinsia au Mahusiano na kuna muda utaona kabisa kwamba tukio fulani limemtokea Mwanamke mwenzake kwa Kosa lake mwenyewe lakini bado utamsikia Mtangazaji huyu akiendelea kuwaponda / kuwananga / kuwasema Wanaume utadhani labda Mimba iliyomleta Yeye hapa duniani haikutokana na juhudi za huyo huyo Mwanaume ambaye leo anamchukia.
Mtangazaji Mary Edward amekuwa na tabia za kulazimisha mambo ambayo hata Kidini tu na Kimaadili ya Kiafrika hayawezekani kiasi kwamba huwa namtafakari na simpatii majibu sana sana huwa naona ananikera tu.
Kwa mfano leo asubuhi amekazania kabisa kusema tena kwa amri kabisa akitutaka Wanaume wote kuwa na tabia za kuwauliza Mabinti zetu kama wapo katika Siku zao za Hedhi ( Menstrual Period / Cycle ) na kisha tuwe tunaenda kuwanunulia Madukani na kuwapa ili wazitumie na kwamba ikiwezekana tuwe pia tunawauliza kama wamemaliza Siku zao na kuwafundisha jinsi ya Kuoga ili ' Kujiswafi ' vizuri huko ' Ikuluni ' Kwao.
Hivi huyu Mtangazaji Mary Edward na Yeye Baba yake Mzazi alikuwa akimfanyia yote haya pale alipovunja Ungo? Halafu ni kwanini anapenda sana kuitumia Magic fm kama ' platform ' yake ya kuwasema vibaya Wanaume? Kama aliumizwa na kuudhiwa na Mahusiano yake na Mwanaume wake tafadhali watafutane kimya kimya na wayamalize lakini siyo kila uchao kujifanya anakuwa ' too emotional ' kwa ' issues ' za Wanaume.
Abadilike upesi tafadhali na naamini kwa ' Uzi ' wangu huu ' message sent and delivered ' na Kesho kama kawaida yangu nitakisikiliza Kipindi chao ili nione ' reaction ' yake juu ya huu ' Uzi ' hasa nikiamini kwamba karibia 99% ya Watangazaji wa hicho Kipindi ni wana JF wazuri tu na tunao humu 24/7 tukitiririka na kuserereka pamoja.
Nawasilisha.
Mary Edward Mzurikwao hajawahi kuwa ' neutral ' katika ' udadavuaji ' wake wa masuala ya Kijinsia au Mahusiano na kuna muda utaona kabisa kwamba tukio fulani limemtokea Mwanamke mwenzake kwa Kosa lake mwenyewe lakini bado utamsikia Mtangazaji huyu akiendelea kuwaponda / kuwananga / kuwasema Wanaume utadhani labda Mimba iliyomleta Yeye hapa duniani haikutokana na juhudi za huyo huyo Mwanaume ambaye leo anamchukia.
Mtangazaji Mary Edward amekuwa na tabia za kulazimisha mambo ambayo hata Kidini tu na Kimaadili ya Kiafrika hayawezekani kiasi kwamba huwa namtafakari na simpatii majibu sana sana huwa naona ananikera tu.
Kwa mfano leo asubuhi amekazania kabisa kusema tena kwa amri kabisa akitutaka Wanaume wote kuwa na tabia za kuwauliza Mabinti zetu kama wapo katika Siku zao za Hedhi ( Menstrual Period / Cycle ) na kisha tuwe tunaenda kuwanunulia Madukani na kuwapa ili wazitumie na kwamba ikiwezekana tuwe pia tunawauliza kama wamemaliza Siku zao na kuwafundisha jinsi ya Kuoga ili ' Kujiswafi ' vizuri huko ' Ikuluni ' Kwao.
Hivi huyu Mtangazaji Mary Edward na Yeye Baba yake Mzazi alikuwa akimfanyia yote haya pale alipovunja Ungo? Halafu ni kwanini anapenda sana kuitumia Magic fm kama ' platform ' yake ya kuwasema vibaya Wanaume? Kama aliumizwa na kuudhiwa na Mahusiano yake na Mwanaume wake tafadhali watafutane kimya kimya na wayamalize lakini siyo kila uchao kujifanya anakuwa ' too emotional ' kwa ' issues ' za Wanaume.
Abadilike upesi tafadhali na naamini kwa ' Uzi ' wangu huu ' message sent and delivered ' na Kesho kama kawaida yangu nitakisikiliza Kipindi chao ili nione ' reaction ' yake juu ya huu ' Uzi ' hasa nikiamini kwamba karibia 99% ya Watangazaji wa hicho Kipindi ni wana JF wazuri tu na tunao humu 24/7 tukitiririka na kuserereka pamoja.
Nawasilisha.