tafadhali jamani, natafuta rafike wa kike

tafadhali jamani, natafuta rafike wa kike

kalisto

Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
33
Reaction score
0
mimi ni mgen katika safu hii.
natafuta rafiki wa kike anayeweza kuwa mke hasaaa, kuanzia miaka 18-24. asiwe mnene wala si membamba, na sio mrefu na si mfupi.nina urefu wa 182cm.
 
Mbona we hujataja umri wako? Alafu hujasema kama we ni mnene au mwembamba. Jipe promo jombaa! Hahahahaaaaa....... Kila la kheri bana!
 
weka picha yako tafadhali.. wadada wengi hawapendi mbuzi kwenye ggunia
 
Mimi sio bonge wala mwembamba. niko na saizi ya kati ila mim ni black African.
 
unapendelea rafikia yako awe na kazi gani kwa mapendekezo yako?
 
Teh teh teee. Mkuu kazi kaenda mbali, kwahali hiyo nna tumashaka kwa na kazi kutokuwa na marafiki. Mweeeh.
Kweli mimi ni fundi cherehani.
 
Teh teh teee. Mkuu kazi kaenda mbali, kwahali hiyo nnatumashaka kwa wasio na kazi kutokuwa na marafiki. Mweeeh. Kweli mimi ni fundi cherehani.
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Acha ujuha, <br />
utaacha ufundi cherahani kama akikuambia anapenda trafiki?</span></font>
<br />
<br />
si ndio hapo.
Sijui kwanin watu wanakosa ujasiri wa kutaja kazi zao.
 
unapendelea rafikia yako awe na kazi gani kwa mapendekezo yako?
<br />
<br />
kazi yoyote lakini niijue. Hela ya juice after meal iwepo.
Mshiko wa outing at least once per month usikosekanee.........
Nataka mwenye residual income..lol.
 
mimi ni mgen katika safu hii.
natafuta rafiki wa kike anayeweza kuwa mke hasaaa, kuanzia miaka 18-24. asiwe mnene wala si membamba, na sio mrefu na si mfupi.nina urefu wa 182cm.

Wadadaeee nilisahau, na Husniyo na Ivuga hata kunikumbusha mawasiliano. haya hapa 0654-057730
 
Back
Top Bottom