Tafadhali kwa hili jamani nisaidieni

Tafadhali kwa hili jamani nisaidieni

Mtandaoni

Senior Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
132
Reaction score
64
Polen na majukumu ya kila siku, kiukweli wpendwa kuna kitu kinanisumbua kwenye mwili wangu mpka sasa cjapata jibu kamili ila kwa sababu humu kuna madoctor naomba mnisaidie kisha nichukue hatua, Napata maumivu makali sana mpk dk hizi upande ulipo moyo chini kidogo na cjajua nini tatizo hivyo naombeni kama kuna mwenye kufaham inatokana na nn tafadhal tuambiane, wenu kwa kupokea maoni ya busara.
 

Attachments

  • Maumivu chin ya moyo.jpg
    Maumivu chin ya moyo.jpg
    35.1 KB · Views: 129
pole sana but ni vizur sana ukaenda hospital kuchek coz u never know
 
Watu Wengi Wenye Hili Tatizo Huwa Wana Vidonda Vya Tumbo Nao Hufikiri Ni Moyo. Japo Inaweza Kuwa Ni Moyo(angina) Hasa Kama We Ni Mnene Au Mzee.
 
Back
Top Bottom