Tafadhali msaada na ushauri

Tafadhali msaada na ushauri

hamisi nondo

Senior Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
192
Reaction score
172
Jamani naomba mnisaidie kitu,, mm nimemaliza kidato cha nne nikapata na cheti changu nikiwa ktk dini ya kikristo,, kwahiyo hata cheti changu kina jina la kikristo,,, kwa sasa nimesilimu na nimejiendeleza kielimu ila vyeti vyang vya mambo niliyosomea vina jina langu jipya la kiislamu tofaut na jina lililopo ktk chet cha 4m 4 je,, kuna utaratibu gani wa sheria naotakiwa kutuumia kwenye kuomba kazi,,,
 
Mwone sheikh wa mkoa unaoishi atakusaidia.
 
Jamani naomba mnisaidie kitu,, mm nimemaliza kidato cha nne nikapata na cheti changu nikiwa ktk dini ya kikristo,, kwahiyo hata cheti changu kina jina la kikristo,,, kwa sasa nimesilimu na nimejiendeleza kielimu ila vyeti vyang vya mambo niliyosomea vina jina langu jipya la kiislamu tofaut na jina lililopo ktk chet cha 4m 4 je,, kuna utaratibu gani wa sheria naotakiwa kutuumia kwenye kuomba kazi,,,
yaani wewe unahitaji msaada wa kujitambua kwanza kabla ya huu msaada wa kubadili majina, unacheza na future yako kwa kuburuzwa
 
Back
Top Bottom