Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haanzishwe tu hata kama hutaki! Yaani Mzize Hasianzishwe kwa sababu tu ya uwanja!!Speed ya mzize ni habari nyingine uwanja wakaitaba vipimo vyake ni vidogo mno kesho mzize tafadhali hasianzishwe tusije kumkuta nje ya uwanja.
Viwanja vina vipimo tofauti?Speed ya mzize ni habari nyingine uwanja wakaitaba vipimo vyake ni vidogo mno kesho mzize tafadhali hasianzishwe tusije kumkuta nje ya uwanja.
Wana akili visoda sana mashabiki wa hiyo timuKIjana wa Uto una upuuzi mwingi sana.
Ndio mkuu,kuna vya mita 100,120 na 140.Viwanja vina vipimo tofauti?
Ndo najua leoNdio mkuu,kuna vya mita 100,120 na 140.
Tizama kama ule wa kaizer chiefs alofungwa Simba goli 4 ni mkubwa kuliko wa Benjamin mkapa.
Ule ni 140.
Mmeaminishwa Mpira ni kitu Cha maana Sana!!wenzenu wanasonga mbele !! Mmeacha kuhoji vitu vya maana mnajifanya mnapenda Sana futibol??? Xnxvhdhdhdb nyieSpeed ya mzize ni habari nyingine uwanja wakaitaba vipimo vyake ni vidogo mno kesho mzize tafadhali hasianzishwe tusije kumkuta nje ya uwanja.