Tafadhali nahitaji sana msaada...!

MESSI

Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
38
Reaction score
2
Kwanza napenda kuwashukuru wanaJF kwa jinsi mnavyosaidia kuijenga jamii yetu.

Mimi ni mwanaume nimekuwa nikisumbuliwa tatizo la kuwahi kumaliza kila ninapofanya mapenzi na GF wangu tatizo linanikera sana naomba mnisaidie jinsi gani ya kulitatua na pia kuna wakati japo sio mara kwa mara uume huwa hausimami na kuwa firm kabisa unakua ka unalegea ivi nisaidieni jinsi ya kutatua hilo pia.
 

Kuhusu kuwahi kumaliza,nakushauri do mazoezi ila usizidishe. Hilo la uume kutokuwa firm ngoja tusubiri wachangiaji wengine.
 
Kuhusu kuwahi kumaliza,nakushauri do mazoezi ila usizidishe. Hilo la uume kutokuwa firm ngoja tusubiri wachangiaji wengine.

Nitumie namba yako kwa pm ili nikupigie nikupe maelezo jinsi ya kupambana na tatizo yako
 
Psychological problem and most likely anxiety ndio maana uume hausimami kisawasawa. Hii inawezekana na uhusiano wako na huyo GF ndio unaokupa wasiwasi. Je ni GF wako wa kwanza ktk maisha yako? Haya matatizo ni kwa huyu tu? She might be a control freak ndio maana una anxiety. Tusubiri wengine watasema nini
 
hapana sio GF wa kwanza nlishakuwa nao wengine hapo nyuma....afu tatizo la kuwahi sio kwake 2 lina mda kiasi...
 
pga mazoezi na ondoa wasiwasi

halafu wakat una do bana pumzi hivi..
control kupumua...
bana mdomo...
usipumue ovyo...
 
hapo rahisi tuu!ukiwa una sex ukisikia unataka kufika acha kukatika!pia kama unaweza kuhamisha mawazo ingekua ni strategy nzuri!yanh una sex ila mawazo yako yapo kariakoo!utachapa 60 minutes bila kufika
 
 
sijui kama niko sawa mtanisamehe kwa yoyote nitakayemkwaza!

pole sana kaka kwa tatizo linanalokusibu mungu atakusaidia utakuwa fiti..
hivi mimi sijaelewa iweje mtu amekuja jukwaa kama hili kuomba ushauri unamwambia mtu aku PM? huoni kama unawanyima na wengine ujuzi wa uuguzi wa kutoa huduma ya kwanza?
mimi huwa nakerwa sana na watu wa aina hiyo mueleze mtu wazi ili nawengine wafaidike unaweza usiwe unaumwa but ipo siku yakakukuta hivyo ukafaidika na ushauri unaotolewa huku! sio mtu anaeleza shida yake wazi mtu unasema aku PM sio freshi wote tunahitaji kujifunza kwakuwa wote ni WAGONJWA WATARAJIWA! MWENZAKO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI...


ni hayo tu, samahani kama nitakuwa nimemkwaza mtu...
 
wewe ni muasherati!! Nashindwa kuelewa hii thread imeletwaje huku wakati jamaa hana mke alafu imekuwaje siku hizi kilamtu mwenye Gf hufanya mapenzi? Mwogopeni Mungu........,,..Buck 2 the topic Tafiti zinaonyesha wanaume wanao tumia muda mwingi kumuandaa mwananke huwa hawawahi kumaliza,Pili vyakula kama asali,matikiti maji,karanga,mdalasini,mihogo,samaki,husaidia kuondoa tatizo hilo.Pia fanya mazoezi hii itasaidia damu kwenda kwenye mboo na kutoka vizuri kwani uume husimama baada ya damu kuzunguka vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…