Kwa wanasheria waliobobea na wanasheria wanafunzi naomba msaada wa namna ninavyoweza kupata historia ya sheria ya ushahidi kwa nchi za Africa mashariki hasa kwa nchi za Tanzania, kenya na uganda.
Ninajua wapo watu watakao anza kubeza, lakini kiukweli ni mekwama.
kama kuna mtu anajua kitabu online au namana yyt nitakayoweza ku access
Please
NB: KAma hujua nakushauri ukae kimya nisingependa matusi wala dhihaka
Ninajua wapo watu watakao anza kubeza, lakini kiukweli ni mekwama.
kama kuna mtu anajua kitabu online au namana yyt nitakayoweza ku access
Please
NB: KAma hujua nakushauri ukae kimya nisingependa matusi wala dhihaka