MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Hbr yenu wana Jf,
Naomba mtu mwenye taarifa za chuo cha Serikali cha Bandari anipatie tafadhali;
1. Je kipo Dar tu au ?
2. Addimision zake zinafanyikaje na ni lini?
3. ada yake ipoje?
4. Kozi nzuri kwa certificate ni ipi na Qualification zake.
ASANTENI WAKUU
Naomba mtu mwenye taarifa za chuo cha Serikali cha Bandari anipatie tafadhali;
1. Je kipo Dar tu au ?
2. Addimision zake zinafanyikaje na ni lini?
3. ada yake ipoje?
4. Kozi nzuri kwa certificate ni ipi na Qualification zake.
ASANTENI WAKUU