Tafadhali naomba ushauri katika hii biashara

Tafadhali naomba ushauri katika hii biashara

Trinity

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
1,828
Reaction score
3,508
Natumai mpo salama ma bibi na ma bwana.!

Kichwa cha uzi cha husika, nilikuwa na wazo la hii biashauri miaka 3 iliyopita lakini sikulifanyia kazi nalo likafa kwenye akili yangu. Juzi nikiwa mkoa wa Moro nimeona jamaa wanaifanya hii biashara na wanapiga pesa ni hatari. Inaonekana jina lao limeenea mkoa mzima kwa sababu kila nilipoeleza shida yangu wenyeji wakasema nenda Manzese shida yako itaisha fasta, na kweli baada ya kufika pale nikatatua tatizo langu.

In fact biashara yenyewe ni kununua na kuuza vitu used mfano vitanda, majiko, meza, vyombo vya ndani n.k Kuna mdau aliniagiza nipitie Moro nikambebe vitu vyake baada ya kumaliza chuo lkn kuna baadhi ya vitu akasema niviuze ndipo nilipojua kwamba my idea was real but kuna situations zilinikatisha tamaa baada ya kushirikisha wadau wawili au watatu hivi.

Naomba muongozo wa hii biashara hasa namna ya kudeal na vitu vya wizi ili ikiwezekana nianzishe kwenye mkoa wangu nilipo maana hakuna hii biashara lkn hi najua watu wengi wana vitu huwa wanahitaji kuviuza aidha wamemaliza masoma, ukosefu wa pesa lkn pia wengine wafanyakaz wamepata uhamisho kikazi.

Nawezaje kuifanya hii biashara kwa usalama?
 
Vitu vya used au wizi liweke SAwa hili
Vitu used mfano vitanda, magodoro, redio n.k

Mara nyingi watu wanahama wanashundwa vitu wavipeleke wapi lkn pia wanachuo wakimaliza masomo huwa wanashindw vitu wavipelek wapi hali kadhalika kuna wanao ishiwa pesa wanaona ngoja wasukume tv, shida inakuja utamuuzia nani.

Mi nikiwa na center nitawarahisishia.

Karibu kwa maoni hasi au chanya.!
 
Vitu used mfano vitanda, magodoro, redio n.k

Mara nyingi watu wanahama wanashundwa vitu wavipeleke wapi lkn pia wanachuo wakimaliza masomo huwa wanashindw vitu wavipelek wapi hali kadhalika kuna wanao ishiwa pesa wanaona ngoja wasukume tv, shida inakuja utamuuzia nani.

Mi nikiwa na center nitawarahisishia.

Karibu kwa maoni hasi au chanya.!
Think out of the box,kalunya kakupa clue
Ni rahisi kununua kesi baada ya kuuziwa viti vya wizi.
Utajikuta unaishia polisi kila mara
 
Vitu used mfano vitanda, magodoro, redio n.k

Mara nyingi watu wanahama wanashundwa vitu wavipeleke wapi lkn pia wanachuo wakimaliza masomo huwa wanashindw vitu wavipelek wapi hali kadhalika kuna wanao ishiwa pesa wanaona ngoja wasukume tv, shida inakuja utamuuzia nani.

Mi nikiwa na center nitawarahisishia.

Karibu kwa maoni hasi au chanya.!
Take risk mkuu. No risk no pay. Kila kitu hata mazao yanaweza kuibwa mahali nawe ukaletewa mzigo.
Kupunguza kuletewa vitu vya wizi, hakikisha anayekuletea ana documents (receipts kama inawezekana) na utambulisho wa mtaa/anafahamika kwa uongozi wa mtaa.
Kwa chombo Cha moto, fatilia TRA taarifa za mmiliki halali na usinunue chombo ambacho hakijabadilishwa umiliki......
Maisha yafaa Nini bila kurisk....!
 
Take risk mkuu. No risk no pay. Kila kitu hata mazao yanaweza kuibwa mahali nawe ukaletewa mzigo.
Kupunguza kuletewa vitu vya wizi, hakikisha anayekuletea ana documents (receipts kama inawezekana) na utambulisho wa mtaa/anafahamika kwa uongozi wa mtaa.
Kwa chombo Cha moto, fatilia TRA taarifa za mmiliki halali na usinunue chombo ambacho hakijabadilishwa umiliki......
Maisha yafaa Nini bila kurisk....!
Asante umeniongezea courage na mbinu ya utambulisho wa mtaa ni muhimu.!!
 
Think out of the box,kalunya kakupa clue
Ni rahisi kununua kesi baada ya kuuziwa viti vya wizi.
Utajikuta unaishia polisi kila mara
umesema fact lkn Vipi nikiisajili na kuwa na mashine ya efd haiwezi kusaidia najua polisi kuitwa itakua mara kwa mara ila nafikir kikubwa ni kuwa na vielelezo vya kunilinda.
 
umesema fact lkn Vipi nikiisajili na kuwa na mashine ya efd haiwezi kusaidia najua polisi kuitwa itakua mara kwa mara ila nafikir kikubwa ni kuwa na vielelezo vya kunilinda.
Hapo itakusaidia sana sajili kama kampuni au business name kazi yako ni kununua na kuuza.anayekuuzia mnaandikishana,utakwepa mtego wa kulala ndani
 
Back
Top Bottom