Tafadhali nisaidie ni wapi ninaweza kupata mkopo wa haraka kwa masharti nafuu

Hondace

New Member
Joined
Jul 18, 2019
Posts
4
Reaction score
0
Habari, poleni na majukumu ya siku nzima. Inawezekana ukawa suluhisho la tatizo langu la kupata mkopo. Maisha yamenipiga sana baada ya kuachishwa kazi na sasa ninakusudia kuanzisha biashara ili niweze kuanza kwa upya. Tafadhali nisaidie ni wapi ninaweza kupata mkopo wa haraka kwa masharti nafuu. Nilitegemea NSSF initoe lakini ni majanga, kila siku napigwa kalenda. Ahsante.
 
Biashara za kuanza ukiwa umepanic hivi na maisha jitahidi sana mtaji usiwe wa mkopo.....
 
Biashara za kuanza ukiwa umepanic hivi na maisha jitahidi sana mtaji usiwe wa mkopo.....
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri lakini sina jinsi. Ni bahati mbaya sana sikujijengea utaratibu wa kusave nilipokuwa nikipata pesa na sasa during rainy season I have nothing! Unadhani naweza kupata mtaji kwa njia tofauti na mkopo?
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri lakini sina jinsi. Ni bahati mbaya sana sikujijengea utaratibu wa kusave nilipokuwa nikipata pesa na sasa during rainy season I have nothing! Unadhani naweza kupata mtaji kwa njia tofauti na mkopo?
Nilitegemea sana NSSF ingenisaidia lakini sasa nimegundua I was so wrong! Sielewi kuna shida gani pale NSSF!!
 
Pole...kamwe usianze biashara na hizi hela za mkopo..stress ulizonazo nw zitajidouble!
kwasababu naaminu huna uzoefu na biashara tafuta hata rafiki akupe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…